Siwezi Kusahau Definition nilizokariri nikiwa form I and II - Science

When a pressure is applied at any point in a fluid contained in a vessel, the pressure is trasmitted equally/udiminished to the all parts of fluid and to the walls of the containg vessel.
 

Hapo kwenye red, ulimeza hivyo hivyo nzima nzima??!!!!
 
mkuu lile VERNIER CALLIPER kulikariri kichwani mchoro na parts zake aisee -- na kila paper lazima lilikuwa linatoka.

Nyie mmesoma Technical school nin?maana neno Mesini nalikumbuka tulikuwa twatumia Technical,draw Vernier Calliper n its part!mh
 
you took me very far........kwenye kipindi cha hesabu kusolve simultaneus eqns na kuangalia four figure ilikua mtiti...bila kusahau LOG......kila siku bakora asubuhiiiii!!!!! ila baada ya yote leo tuko chuo tunagonga kama kawa!!!!
 
Siwezi Kusahau Definition nilizokariri

Everybody continues in its state of rest until external force applied to it - 1[SUP]nd[/SUP] law of Motion
Sio "kila mtu," bali ni "kila kitu."

Na, hakuna kitu kama "1[SUP]nd[/SUP] law of Motion"

Isitoshe, hii haiwezi kuwa law of motion wakati unatuambia inaongelea tabia za binadamu wote waliotulia barazani,
(everybody in state of rest), hawaguswi, hawasogei . Sasa itakuwaje tena law of motion?

Matter is anything which can occupy space and has got weight and volume
"Matter can occupy space and has volume" ni marudiorudio. Kwa sababu volume maana yake ni nafasi inayochukuliwa na matter kwa dimensions zake. Kitu hakiwezi kuchukua nafasi kama hakina volume. Sijui unanielewa??? Mbatia aliwaambia serikali bungeni kwamba huwezi kusema "Mtaala wa Advanced Level Mathematics kwa Shule za Advanced Level"!

Chemical change - new substance is formed; change in weight; not reversed to original state:
Si kweli.

Law of conservation of mass inakataa kwamba chemical reaction hubadilisha mass. Mass haitengenezeki, haipotei. Na si kweli kwamba chemical reaction haiwezi kuwa reversed. Ingekuwa hivyo basi kwenye mada ya Chemical Kinetics wasingekuwa wanafundisha kitu kinaitwa "reversible and irreversible reactions!"


Three states of Matter - Solid, Liquid and Gas
Charles Law – Pressure constant
Boyles Law – Temperature constant
Hizi sio definitions, ni masharti ya applicability ya sheria hizo.

Action and reaction are equal and opposite – Third Low of motion - 3rd low of Motion
Hakuna kitu kama Third Low of Motion

Hydrogen pop sound Lab Test
Hydrogen pop sound - Lab Test ndio definition ya kitu gani jamani?

Common apparatus in the Lab – Bunsen banner
Sio Bunsen Banner. Sema "Bunsen Burner," kazi yake inahusiana na kuunguza, ku "burn." Tukijaribu kuelewa tunachokariri itasaidia kutojaza vichwani mavitu ambayo haya make sense.

Kwa hiyo bado tunadai mitaala ya elimu ije kwa umma kuwa ya wazi, ihakikiwe, na kama yaliyomo ndo hayo hapo juu basi ichanwe, tuiandike upya. Ari yangu kwa serikali ni kwamba haya matatizo ni yetu sote, tumenyimwa elimu bora, sasa kitu kama mitaala ya elimu kwa nini inakuwa siri ya serikali? Mfumo wa elimu ufumuliwe: Lowassa.
 
Anheuser we mtata... I bet ulisoma masomo ya sayansi sekondari halafu ukaenda kufanya political science chuo.
 
Last edited by a moderator:
Anheuser we mtata... I bet ulisoma
Huo nao ni udhihirisho mwingine wa jinsi tulivyonyimwa elimu, hatukujengewa inquisitive minds, mtu anabandika hadharani ma definition kumi ya kidato cha kwanza, ya uongo, halafu anae ya question na kuyapinga haonyeshwi yeye kakosea wapi, anaambiwa "we mtata"!

Dr. Slaa amesema jana, akitetea hoja za kina Mbatia, kwamba alikuwa anakagua daftari la mwanae jana yake, akakuta wamechoreshwa mwili wa mtu na zehemu zake za ndani, maini yako kifuani. Akasema "ini za Mtanzania ziko kifuani"! Ndo tukaomba jamani eeh, tunaomba mitaala ya elimu. Siri! Jamani, watoto wanafundishwa nini mashuleni? Siri! Kila kitu siri!

Kilio chetu wananchi bado kiko pale pale, na zaidi. Tunadai haki ya kuonyeshwa mitaala inayotumika kwenye vyuo vya ualimu! Tumenyimwa elimu muda mrefu.
 
Kitu Classification kwenye biology bana kuna mwl wangu mmoja mmasai (mwl Ole) alitutoa sana damu kutukaririsha hii makitu hadi nikachukia biology mwisho advance nikaishia PCM!
 
Oh physical chemistry gem! Disorder is a more natural state. Like my single room goes into disorder naturally and requires lots of effort on my part to make it neat.
 
Hiyo ndio elimu ya Tz kukaririshwa tu kuelewa majaliwa. Sasa utaona hata aspirin hatugundui, kazi kwelikweli
 
Duu mshikaji umenikumbusha mbali sana,umenikumbusha msela wangu alipigwa risasi ya kichwa lugalo na rafiki yake,siku moja kabla ya kufariki tulikuwa tunadiscuss baada ya kutoka kwenye pindi la physics na teacher MKONGO 1996 AZABWAY
 
Museum are place which are created for preserving historical information.
 

Ilikuwa noma. Nakumbuka enzi hizo hata kama umeme umekatika, nilikuwa naenda ''prepo'' na dogo mmoja kazi sasa kushindana kutema tulivyomeza..na kukosoana gizani....hahahaha
 

Ahahaha...'we mtata' as reffered to here didnt come as criticism but rather kukubali uchambuzi wako...nisawa na ningesema 'we jembe'

Heheheh...
#Watanzania maini yapo kifuani#

Tuvumiliane.
 
tungamo na uzani... chapter safi sana darasa la tano
 
Form 1 enzi hzo. Ni law gani hii?
"The ratio of concentrations of a solute x distributed between two immiscible solvents A and B is a constant if the physical state of the solute is the same in both solvents and the temperature is constant"
 
Nyie mmesoma Technical school nin?maana neno Mesini nalikumbuka tulikuwa twatumia Technical,draw Vernier Calliper n its part!mh
yeah mkuu, wakati huo kulikuwa na shule 2 tu za ufundi za kitaifa: Moshi Technical na Ifunda. na vyuo vilikuwa vitatu tu - Dar Tech, Arusha Tech na Mbeya Tech. kwa hiyo mkimaliza form four kwa mfano moshi Tech basi darasa zima mnajikuta mpo Dar Tech. Wakati huo nchi ilikuwa na mkakati wa kupata mafundi kwa ajiri ya viwanda vyetu, nafikiri ilikuwa ndoto ya Mwalimu. sasa hivi shule hizi zipo hoi bin taaban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…