Siwezi kuwapigia makofi mashujaa FC kwa ushindi wao wa mchongo ulioaandaliwa na lazima wapande ligi kuu

huwezi amini mdau hao wanambeya wenyewe wameshukuru sana ile timu ishuke daraja maana siasa ilishaingia pale...eti timu kakabidhiwa tulia wakati enzi ya sugu walitaka kumkabidhi timu akawakatalia ila michango na kwenda uwanjani kuwashangilia aliwasapoti sana...........baada ya miaka kumi mbeya city byebye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…