Siwezi kwenda msibani na ndevu

Siwezi kwenda msibani na ndevu

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikate, kwa bahat mbaya akaminya cha kupokelea, alipohangaika kuzima akajikuta kaminya laudspika ikasikika sauti 'ETI HONEY UMESEMA NIWEKE KITIMOTO KIASI GANI? 😄😄😄🙆🙆🙆🙆

Allah kamuumbua.
 
Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikate, kwa bahat mbaya akaminya cha kupokelea, alipohangaika kuzima akajikuta kaminya laudspika ikasikika sauti 'ETI HONEY UMESEMA NIWEKE KITIMOTO KIASI GANI? 

Haaaaaaa.............
 
ngoja nimeze panadol,yani mbavu zinauma kweli tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe.
 
Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikate, kwa bahat mbaya akaminya cha kupokelea, alipohangaika kuzima akajikuta kaminya laudspika ikasikika sauti 'ETI HONEY UMESEMA NIWEKE KITIMOTO KIASI GANI? 😄😄😄🙆🙆🙆🙆
hahahahah
 
Kuna mwehu alirud safar ambapo alikua nje ya jij zaid ya mwez alirud akiwa na mizigo kibao akamkuta mkewe ameshajiandaa anaenda shughulini
Alimuambja mke wangu nimerud ndio mamb gani hayo hata hatuulizan unataka kuondoka
Mke alijib oooh ntarud natoka
Aliolpotoka asubh saa nne alirud moja jion
Na yeye mwanaune akaingia bafuni akakoga
Akaingia ndani akaulamba mke akauliza unaenda wapi akamuambia usijal narud sasa iv akasepa akarud asubh
Kilichofuata
Tukutane next episode
Ss wanaume akili zetu tunazijua wenyewe
 
Tit 4 Tat[emoji7] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom