Six ways men can escape poverty

Six ways men can escape poverty

Mada nzuri sana. Hapo kwenye mentorship, real life mentorship, kumpata mtu ambae anaku-guide au anakupitisha njia za kufabikiwa katika kitu fulani ni tatizo kubwa. Ukweli mentorship ina impact kubwa sana sema tu haijatiliwa mkazo. Ukifuatilia wanaofanya vizuri duniani wengi pamoja na ujuzi na vipaji vyao pia walikuwa na mtu alio wa guide. Millenials wengi tunajihisi wajuaji lakini mentorship ya mzoefu wa nyanja ni muhimu.

Sijui tufanyeje kupata mentorship nzuri?
 
Mada nzuri sana. Hapo kwenye mentorship, real life mentorship, kumpata mtu ambae anaku-guide au anakupitisha njia za kufabikiwa katika kitu fulani ni tatizo kubwa. Ukweli mentorship ina impact kubwa sana sema tu haijatiliwa mkazo. Ukifuatilia wanaofanya vizuri duniani wengi pamoja na ujuzi na vipaji vyao pia walikuwa na mtu alio wa guide. Millenials wengi tunajihisi wajuaji lakini mentorship ya mzoefu wa nyanja ni muhimu.

Sijui tufanyeje kupata mentorship nzuri?

Interesting question!

Nimekusoma vizuri sana wehoodie.
Hili jambo ni muhimu sana lakini tatizo ni kuwa it's not a norm in our society but it's Important.

Tunajaribu kuwa na mikusanyiko ya kuelekeza na kufundisha vijana mambo mbali mbali ya kimaisha, lakini hatufanyi at a personal level, as in one in one.

Kuna age na hatua ambayo mtu/kijana anafikia, ambapo kwa namna moja ama nyingine lazima atahitaji ushauri, au muongozo.

And for that case, it's Imperative to have a mentor, someone they can look up to, either kwa ushauri au muongozo.
 
Nimeipenda sana, will learn from it and be a mentor to someone
 
Mada nzuri ila hapa huwezi kuona mtu aisee...wanapita kimya!

Ebu Post kuhusu mpenzi wangu hanifikishi, Natafuta mpenzi wa kunipa maisha, Dawa inayoongeza nguvu za kiume, Jinsi ya kumridhisha mwanamke n.k hapo watajaa kama siafu!

Nahisi Trump alitulenga wa TZ katika ule msemo wake wa Africans!
Uko sahihi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom