Siyaelewi makato ya benki ya CRDB

Wamepandisha tena mwaka huu!! Yeleuwiiiiii
 
international bank ipi unayotumia?
 
Equity, BankABC na FNB
nilisikia FNB imefungasha virago..
Equity nasikia sifa nzuri juu yake...nitajarribu ifuatilia..
BankABC sina taarifa kamili kuihusu zaidi ya kwamba nimesikia Equity atainunua hivi karibuni
 
Mmh FNB amelala mbele mkuu?
nilisikia FNB imefungasha virago..
Equity nasikia sifa nzuri juu yake...nitajarribu ifuatilia..
BankABC sina taarifa kamili kuihusu zaidi ya kwamba nimesikia Equity atainunua hivi karibuni
 
Sim banking,nmb mobile makato makubwa saanaa
 
Hapa kuna kitu mnaficha au haukijui kama una card ya visa mastercad kuna hela mnakata sijui ya nini kama 6000 hivi
Dah, hivi vitu wanavificha sana, sijui kwa nini kutoka 1882 kwa kadi ya tembo card Hadi 6000 kwa card ya Visa !! . Inabidi wawe wawaz kidogo bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…