Siyo Busara Bunge Kuilazimisha Serikali Kuingia Ubia na Hospitali ya Selian

Siyo Busara Bunge Kuilazimisha Serikali Kuingia Ubia na Hospitali ya Selian

LordRapaar

Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
17
Reaction score
16
Serikali inazo Hospitali zake katika ngazi mbalimbali. Inaendelea kuongeza idadi na ufanisi wa hospitali hizo kwa kadri ya upatikanaji wa fedha.

Kitendo cha Kamati ya Bunge ya Huduma za Afya kuagiza Serikali kuingia ubia na Selian kwa haraka kinaleta mashaka mengi.

Je maamuzi haya yalitolewa kwa ushaushi wa Kanisa la Kiluteri, ushaushi wa baadhi ya wabunge waliopo katika Kamati wenye maslahi na Kanisa, na kadhalika. Je shinikizo hili la Kamati ya Bunge kinakwenda sawa na mipango ya Serikali?

Serikali iendelee kujenga Hospitali zake za Rufaa katika kila Mkoa kwa mujibu wa mipango yake. Hayo yanayotakiwa kufanywa yafanyike kwenye Hospitali ya Mount Meru.

Tuachane na shinikizo la watu wenye maslahi na Kanisa la KKKT.
 
Serikali inazo Hospitali zake katika ngazi mbalimbali. Inaendelea kuongeza idadi na ufanisi wa hospitali hizo kwa kadri ya upatikanaji wa fedha.

Kitendo cha Kamati ya Bunge ya Huduma za Afya kuagiza Serikali kuingia ubia na Selian kwa haraka kinaleta mashaka mengi.

Je maamuzi haya yalitolewa kwa ushaushi wa Kanisa la Kiluteri, ushaushi wa baadhi ya wabunge waliopo katika Kamati wenye maslahi na Kanisa, na kadhalika. Je shinikizo hili la Kamati ya Bunge kinakwenda sawa na mipango ya Serikali?

Serikali iendelee kujenga Hospitali zake za Rufaa katika kila Mkoa kwa mujibu wa mipango yake. Hayo yanayotakiwa kufanywa yafanyike kwenye Hospitali ya Mount Meru.

Tuachane na shinikizo la watu wenye maslahi na Kanisa la KKKT.
Si suala la maslahi..ufanisi kwenye hospitali serikali inajenga upo?
Kuna haja gani serikali kutumia pesa kujenga hospitali wakati hospitali binafsi zipo, kwa nini isitumie pesa hizo kuimarisha NHIF na kusaidia kuajiri wafanyakazi kwenye hospitali zilizopo kuongeza ufanisi..?
 
Serikali inazo Hospitali zake katika ngazi mbalimbali. Inaendelea kuongeza idadi na ufanisi wa hospitali hizo kwa kadri ya upatikanaji wa fedha.

Kitendo cha Kamati ya Bunge ya Huduma za Afya kuagiza Serikali kuingia ubia na Selian kwa haraka kinaleta mashaka mengi.

Je maamuzi haya yalitolewa kwa ushaushi wa Kanisa la Kiluteri, ushaushi wa baadhi ya wabunge waliopo katika Kamati wenye maslahi na Kanisa, na kadhalika. Je shinikizo hili la Kamati ya Bunge kinakwenda sawa na mipango ya Serikali?

Serikali iendelee kujenga Hospitali zake za Rufaa katika kila Mkoa kwa mujibu wa mipango yake. Hayo yanayotakiwa kufanywa yafanyike kwenye Hospitali ya Mount Meru.

Tuachane na shinikizo la watu wenye maslahi na Kanisa la KKKT.
Serikali inapaswa kuweka ubia na mashule, mahospitali, vyuo n.k kwa sababu majukumu hayo kimsingi ni ya Serikali.
Kama shule au hospitali au chuo kinasua sua, je kuna makosa gani serikali ikiingia nayo ubia?
Mbona serikali kupitia ccm imeingia ubia na taasisi kadhaa za kichina zilizopo humu nchini?
Pevuka kifikra!
 
Serikali inapaswa kuweka ubia na mashule, mahospitali, vyuo n.k kwa sababu majukumu hayo kimsingi ni ya Serikali.
Kama shule au hospitali au chuo kinasua sua, je kuna makosa gani serikali ikiingia nayo ubia?
Mbona serikali kupitia ccm imeingia ubia na taasisi kadhaa za kichina zilizopo humu nchini?
Pevuka kifikra!
Kama ilivyo katika Hospitali binafsi, nafasi ya kuboresha Hospitali za Serikali ipo. Suala la ku-replace nafasi ya Hospitali za Serikali na zile za binafsi linakuja kama a well-thought approach au ni kwa kukurupuka?

Na je hii ndiyo Sera na mpango wa Serikali au ni mawazo yako na uongozi wa Kamati ya Bunge?
 
Kama ilivyo katika Hospitali binafsi, nafasi ya kuboresha Hospitali za Serikali ipo. Suala la ku-replace nafasi ya Hospitali za Serikali na zile za binafsi linakuja kama a well-thought approach au ni kwa kukurupuka?

Na je hii ndiyo Sera na mpango wa Serikali au ni mawazo yako na uongozi wa Kamati ya Bunge?
Ikiwezekana iwe sera endelevu na mpango mkakati wa serikali.
 
Back
Top Bottom