uroto
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 442
- 227
1-kukaa vijiwen bila kazi yoyote,siyo jambo geni
2-mwanamke kumsingizia njemba ujauzito usio wake siyo jambo geni
3-chama pinzani kuyakata matokeo ya uchaguzi,siyo jambo geni
4-kumdanganya binti wa shule/chuo kua utamuoa,siyo jambo geni
......Endelea na wewe mwisho ukimaliza kwa kusema,SIYO JAMBO GENI"
2-mwanamke kumsingizia njemba ujauzito usio wake siyo jambo geni
3-chama pinzani kuyakata matokeo ya uchaguzi,siyo jambo geni
4-kumdanganya binti wa shule/chuo kua utamuoa,siyo jambo geni
......Endelea na wewe mwisho ukimaliza kwa kusema,SIYO JAMBO GENI"