Siyo jambo geni

uroto

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
442
Reaction score
227
1-kukaa vijiwen bila kazi yoyote,siyo jambo geni
2-mwanamke kumsingizia njemba ujauzito usio wake siyo jambo geni
3-chama pinzani kuyakata matokeo ya uchaguzi,siyo jambo geni
4-kumdanganya binti wa shule/chuo kua utamuoa,siyo jambo geni

......Endelea na wewe mwisho ukimaliza kwa kusema,SIYO JAMBO GENI"
 
kila member wa jf kujifanya

-amesoma sana

-ana gari nzuri

-ana nyumba nzuri

-kama ni mwanamke basi yy ni mrembo

-kama ni mwanaume basi anajua kugegeda na ana muhogo wa jang'ombe

siyo jambo geni
 
Steven nyerere kulilia michango ya misiba siyo jambo geni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…