Siyo kwamba nampenda Rais Samia, bali nafurahi hofu ya watu wasiojulikana imeondoka

Siyo kwamba nampenda Rais Samia, bali nafurahi hofu ya watu wasiojulikana imeondoka

MdogoWenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2009
Posts
554
Reaction score
916
Ilifika mahali hata kuongea siasa unaangalia kushoto na kulia ndiyo uongee,tena na unayemuamini.

Ilifika mahali ukiongea halafu ukataja neno Tundu Lissu badi kama pana mfanyakazi wa serikalini unaona amaondoka kimyakimya.

Simu zinarahisisha biashara lakini ilifika mahali mtu hapendi muongee kwenye simu, mtadukuliwa.

Ilifika mahala misa zikageuzwa sehemu ya hotuba kama vile majukwaani.

Ilifika mahali unaogopa kubambikiziwa kesi ya utakatishaji wa fedha na ingawa utashinda lakini unaweza kuozea jela.

Haya yanatosha mengine utajazilizia.

Sasa amekuja Rais Samia. Sijawahi kupenda chama chochote iwe CCM au CHADEMA.

Ninachofurahi ni kwamba mengi niliyotaja yataondoka.
 
Ila fahamu wasiojulikana hawajaondoka. Wanakuja kama Corona kwa awamu.
 
Umeongea ukweli mtupu. Hasa hawa watumishi wa umma hadi kwenye WhatsApp walikuwa wanaogopa. Wale walioenda shule kuongeza madigrii ndio usisema maana wanahofia kutopandishwa vyeo ikiwa wanakosoa serikali.
 
Ilifika mahali hata kuongea siasa unaangalia kushoto na kulia ndiyo uongee,tena na unayemuamini.

Ilifika mahali ukiongea halafu ukataja neno Tundu Lissu badi kama pana mfanyakazi wa serikalini unaona amaondoka kimyakimya.

Simu zinarahisisha biashara lakini ilifika mahali mtu hapendi muongee kwenye simu, mtadukuliwa.

Ilifika mahala misa zikageuzwa sehemu ya hotuba kama vile majukwaani.

Ilifika mahali unaogopa kubambikiziwa kesi ya utakatishaji wa fedha na ingawa utashinda lakini unaweza kuozea jela.

Haya yanatosha mengine utajazilizia.

Sasa amekuja Rais Samia. Sijawahi kupenda chama chochote iwe CCM au CHADEMA.

Ninachofurahi ni kwamba mengi niliyotaja yataondoka.
Sasa anaonesha sura yake halisi ilikuwa kama chui amejivisha sura ya kondoo aliyokuwa anayafanya magufuli alikuwa anayajuwa na alikuwa wanashauriana .
 
Tuseme tu ukweli wa Mungu toka moyoni magufuli alikuwa mtu katili sana
 
Ilifika mahali hata kuongea siasa unaangalia kushoto na kulia ndiyo uongee,tena na unayemuamini.

Ilifika mahali ukiongea halafu ukataja neno Tundu Lissu badi kama pana mfanyakazi wa serikalini unaona amaondoka kimyakimya.

Simu zinarahisisha biashara lakini ilifika mahali mtu hapendi muongee kwenye simu, mtadukuliwa.

Ilifika mahala misa zikageuzwa sehemu ya hotuba kama vile majukwaani.

Ilifika mahali unaogopa kubambikiziwa kesi ya utakatishaji wa fedha na ingawa utashinda lakini unaweza kuozea jela.

Haya yanatosha mengine utajazilizia.

Sasa amekuja Rais Samia. Sijawahi kupenda chama chochote iwe CCM au CHADEMA.

Ninachofurahi ni kwamba mengi niliyotaja yataondoka.
Mimi tofauti.
Mama Samia nampenda.
 
Sasa hivi kuna hofu ya tozo zisizojulikana ukiamka tu unakuta kuna tozo mpya hujui hata imeanzia wapi na lini
 
Back
Top Bottom