Siyo maneno yangu Gentamycine mwana Simba SC bali ni maneno ya Mchambuzi Oscar Oscar na mwana Yanga SC Mwenzenu

Siyo maneno yangu Gentamycine mwana Simba SC bali ni maneno ya Mchambuzi Oscar Oscar na mwana Yanga SC Mwenzenu

Anaitwa Nguli kwa sababu kaisema Yanga?
Honestly Yanga waliandaa Tamasha bovu sana hata kitendo cha kuleta scene ya mahusiano katika watu serious ambao wamefika uwanjani kwa ajili ya kuangalia wachezaji wao bahati mbaya wanakutana na scene ya endless love.

Ifike wakati Manara akubali kukua kwa age yake sio kuendekeza mapenzi tena mbele ya fans.
Manara kwa sasa wewe ni famous na ni mtu mzima kuwa mfano mzuri kwa vijana.
 
Yuko sahihi Simba wako vizuri kwenye matamasha, wanapangilia mambo yao yananyooka. Yanga wametumia nguvu nyingi kiasi kwamba wamejikuta wanaweka vitu unnecessary na vya kipuuzi mfano kumleta mobeto uwanjani plus mbwembwe za kina manara na kitenge plus prolonged timetable vimeharibu tamasha kwa ujumla
 
"Nimetizama Matamasha yote ila naomba tu niseme kuwa Simba Sports Club ni NEXT LEVEL kwa Matamasha Tanzania" amesema Oscar Oscar Mchambuzi Nguli wa Michezo nchini ambaye pia ni Shabiki wa Yanga SC ya Tanzania.

Imeisha hiyo......Kudadadeki.....!!
Njaa inamsumbua hajiamin huyo baro hajajua wapi atatega vizur mtego wake akakidhi haja zake
 
Anaitwa Nguli kwa sababu kaisema Yanga?
Honestly Yanga waliandaa Tamasha bovu sana hata kitendo cha kuleta scene ya mahusiano katika watu serious ambao wamefika uwanjani kwa ajili ya kuangalia wachezaji wao bahati mbaya wanakutana na scene ya endless love.

Ifike wakati Manara akubali kukua kwa age yake sio kuendekeza mapenzi tena mbele ya fans.
Manara kwa sasa wewe ni famous na ni mtu mzima kuwa mfano mzuri kwa vijana.
Ila Manara aisee...
 
Mkoo busy kuongelea matukio ya Yanga Day ila baada ya tarehe nane mtaanza kuongelea matukio yenu. Huku mkikumbushia bil 20 na kuanza kuyatafuta maduka.
 
Njaa inamsumbua hajiamin huyo baro hajajua wapi atatega vizur mtego wake akakidhi haja zake
Leo yamekuwa haya kwa Oscar Oscar? Ila akiwa anaikandia Simba SC wana Yanga SC wote si tu huwa Mnafurahi bali pia huwa Mnamsifia mno Mitandaoni? Sasa nimeamini kuwa hakuna Watu WANAFIKI duniani kama Watanzania.
 
x.jpg
 
Leo yamekuwa haya kwa Oscar Oscar? Ila akiwa anaikandia Simba SC wana Yanga SC wote si tu huwa Mnafurahi bali pia huwa Mnamsifia mno Mitandaoni? Sasa nimeamini kuwa hakuna Watu WANAFIKI duniani kama Watanzania.
Sijawah hata siku moja kumsifia mtu huyu asiokua na msimamo na si huyu tu mkuu hata huyo manara kiukwel angefungiwa tu au aachane na mipira atafute kazi ya kufanya maneno yake so mazur ya kudhihak watu
 
Sijawah hata siku moja kumsifia mtu huyu asiokua na msimamo na si huyu tu mkuu hata huyo manara kiukwel angefungiwa tu au aachane na mipira atafute kazi ya kufanya maneno yake so mazur ya kudhihak watu
Tafadhali peleka haya Malalamiko yako kule katika Instagram page yake sawa?
 
Back
Top Bottom