Siyo mzee Mangula tu hata Mbowe aliwahi kuanguka baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu akalazwa hapo hapo Muhimbili

Siyo mzee Mangula tu hata Mbowe aliwahi kuanguka baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu akalazwa hapo hapo Muhimbili

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni katika kuweka kumbukumbu sawa tu.

Mwenyekiti wa CHADEMA aliwahi kuishiwa nguvu na kulegea ghafla hali iliyosababisha wasaidizi wake wamkimbize Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Taarifa ya madaktari ilieleza baadae kuwa hali hiyo ilisababishwa na uchovu baada ya Freeman kuwa amefanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

Ni situation kama hii iliyomkuta mzee wetu Mangula baada ya kuwa na vikao na majukumu ya kazi mfululizo bila kupata muda wa kupumzika.

Hali kama hii imewahi kuwakuta watu wengi huko maofisini pia.

Niwatakie Kwaresma yenye baraka!
 
Kwa hivyo nani ndio bingwa wa kuungaka? Siasa ya maji taka tabu.
 
Ihihihihihiiiiiii wabongo kwa kutafuta utetezi hawajambo
 
Ndio maana wameweka ku- retire kazi yoyote iwe miaka 60. Ubongo huwa unachelewa kuzalisha neva mda huo ukipita.
 
Achana na kachero mbobezi wewe hichi kibabu kikimaliza wiki hakijakwenda na maji nipigwe bani.
 
Anayefuata ni katibu huyo akianguka hatosimama kamwe kachero mbobezi anapika dawa yake
 
Wote waliohusika kudhulumu haki ya uanachama wa kachero mbobezi waombe radhi mapema ujumbe umetangulizwa hicho kibabu, bashiru omba poo!
 
Kachero libobezi huko liliko linawachora tu halafu linacheka kwa madharau.
 
Ni katika kuweka kumbukumbu sawa tu.

Mwenyekiti wa CHADEMA aliwahi kuishiwa nguvu na kulegea ghafla hali iliyosababisha wasaidizi wake wamkimbize Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Taarifa ya madaktari ilieleza baadae kuwa hali hiyo ilisababishwa na uchovu baada ya Freeman kuwa amefanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

Ni situation kama hii iliyomkuta mzee wetu Mangula baada ya kuwa na vikao na majukumu ya kazi mfululizo bila kupata muda wa kupumzika.

Hali kama hii imewahi kuwakuta watu wengi huko maofisini pia.

Niwatakie Kwaresma yenye baraka!
[/QUOTE
Sasa hili ni suala la kuweka mezani? Yaani unataka kusema sio wana CCM tu wanaougua!
 
Ni katika kuweka kumbukumbu sawa tu.

Mwenyekiti wa CHADEMA aliwahi kuishiwa nguvu na kulegea ghafla hali iliyosababisha wasaidizi wake wamkimbize Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Taarifa ya madaktari ilieleza baadae kuwa hali hiyo ilisababishwa na uchovu baada ya Freeman kuwa amefanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

Ni situation kama hii iliyomkuta mzee wetu Mangula baada ya kuwa na vikao na majukumu ya kazi mfululizo bila kupata muda wa kupumzika.

Hali kama hii imewahi kuwakuta watu wengi huko maofisini pia.

Niwatakie Kwaresma yenye baraka!
[/QUOTE
Sasa hili ni suala la kuweka mezani? Yaani unataka kusema sio wana CCM tu wanaougua!
 
Kuna kuchoka kutokana na kazi halali, lakini pia kuna kuchoshwa na kazi dhulumati.
 
Back
Top Bottom