Kwa hiyo wsle walevi wanaojitangaza bar kuwa wana wa kitengo nao ni longolomgo?Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Hakika mkuu wana Idara tupo nao wengi mitaani na tunakunywa nao Kahawa kijiwe umiza,Kuna MwanaIdara analewaga Chakari mpaka analala mitaloni huku kitaani kwetu..[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]