- Thread starter
- #21
Sijawahi kuwa ila naipenda nchi yangu nitaifia nchi yangu.Mbona umeficha avatar nahisi na wewe ni mtu wa Idaraš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuwa ila naipenda nchi yangu nitaifia nchi yangu.Mbona umeficha avatar nahisi na wewe ni mtu wa Idaraš¤
Wewe ndio una mjuwa ila anafanya ya usafi kwa mtu binafsi nani anakwambia mwana idara?Wapo tu watu hao na wanajulikana.. Ila siri zao ndoo hazijulikani
Nilikaa naye zaidi ya masaa mawili sehemu fulani napiga kazi karibu na office zao chaajabu baada ya kutoka pale sura ikanipotea hata nikimuona siwezi mtambua tena.Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Kwani ni lazima kila mtu amjueWewe ndio una mjuwa ila anafanya ya usafi kwa mtu binafsi nani anakwambia mwana idara?
Zamani walikuwa wanajificha ikasababisha wao kukosa taarifa muhimu kutoka kwa raia, lakini kwa sasa wanajitambulisha na kwa kufanya hivyo wamekuwa wakipata taarifa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi.Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Huyo sio mwana idara kujitambulisha ni kosa namba moja kutokuwa ktk idara.Zamani walikuwa wanajificha ikasababisha wao kukosa taarifa muhimu kutoka kwa raia, lakini kwa sasa wanajitambulisha na kwa kufanya hivyo wamekuwa wakipata taarifa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi.
Hivyo si kweli kuwa hawafahamiki ila ajira zao si za wazi sana mpaka upate connection.
Teh tehMnavowaongelea utadhani ni watu wa maana kumbe ni maUVCCM yamechukuliwa huko yakavalishwa suti na miwani myeusi.
Unapenda stori za idarani [emoji1]Huyo sio mwana idara kujitambulisha ni kosa namba moja kutokuwa ktk idara.
Movie za kina james bond zimemuharibu sana.Unapenda stori za idarani [emoji1]
Ova
ILLUSIONS activatedNikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Kwahiyo hata DSO wa huko Wilayani kwako humjui?Niko hapa kusubili comment za watu watakaokudhibitishia kwamba wanawajua Wana IDARA na wataenda mbali Zaid nakutaja mishahara, muonekano na tabia zao,
Kuna wanaidara kutoka nchi za nje wanawajua Wana IDARA wa ndan na wako njiani kuukabil huu Uzi kikamilifu
Eti na wewe kilaza ni Tiss aisee tuna Safari ndefu hata kuandika hujui" kunjuwa" ndo uandishi gani kilaza mwana idara!?Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.
Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.
Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Anataka kuipamba kazi yake uchwara ili tuiogope!! Angekuwa CIA si tungekoma!Sijajua motive behind ya thread hii.
Hizo ni mbinu za zamani lakini kwa sasa ndiyo fashion.Huyo sio mwana idara kujitambulisha ni kosa namba moja kutokuwa ktk idara.
Ili iweje sasa.Anataka kuipamba kazi yake uchwara ili tuiogope!! Angekuwa CIA si tungekoma!