Siyo rahisi kumfahamu Mwanaidara

Siyo rahisi kumfahamu Mwanaidara

Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.

Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.

Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Nilikaa naye zaidi ya masaa mawili sehemu fulani napiga kazi karibu na office zao chaajabu baada ya kutoka pale sura ikanipotea hata nikimuona siwezi mtambua tena.
 
Ukipata muda unaweza kunitembelea kwangu ndugu kuna kakitu nikuoneshe .
 
Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.

Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.

Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Zamani walikuwa wanajificha ikasababisha wao kukosa taarifa muhimu kutoka kwa raia, lakini kwa sasa wanajitambulisha na kwa kufanya hivyo wamekuwa wakipata taarifa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi.

Hivyo si kweli kuwa hawafahamiki ila ajira zao si za wazi sana mpaka upate connection.
 
Zamani walikuwa wanajificha ikasababisha wao kukosa taarifa muhimu kutoka kwa raia, lakini kwa sasa wanajitambulisha na kwa kufanya hivyo wamekuwa wakipata taarifa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi.

Hivyo si kweli kuwa hawafahamiki ila ajira zao si za wazi sana mpaka upate connection.
Huyo sio mwana idara kujitambulisha ni kosa namba moja kutokuwa ktk idara.
 
Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.

Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.

Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
ILLUSIONS activated
 
Niko hapa kusubili comment za watu watakaokudhibitishia kwamba wanawajua Wana IDARA na wataenda mbali Zaid nakutaja mishahara, muonekano na tabia zao,

Kuna wanaidara kutoka nchi za nje wanawajua Wana IDARA wa ndan na wako njiani kuukabil huu Uzi kikamilifu
Kwahiyo hata DSO wa huko Wilayani kwako humjui?

DSO ni Afisa Usalama wa Taifa, ngazi ya wilaya. Wanafanya kazi chini ya DC.


Yaani kina Jokate, Mchopanga, Nassari, Nkki wa Pili.


Mnawafikiria kwa makubwa sana kutokana na stori za kutunga vitabuni, movie za kina James Bond.

Kumbe watu wetu ni wa kawaida kabisa, msiwafikirie kwa makubwa hivyo nje ya uwezo wao.

Hawana maajabu watafanya.

Usalama ni Jeshi usu, wengine ndugu zetu, kaka zetu, tunakutana nao kazini, tunaongea nao.

Kwahiyo, kuendelea kuwafikiria kwa mambo ambao hakuna ni uzuzu.
 
Nikweli tumekuwa na uwezo wakusema huyu ni yule na yule ni yule ila kwa vile muundo wa idara za siri za serikali unavyo fanya kazi ni vigumu sana kusema huyu ni mwana idara ila unaweza kumuhisi japo huwezi kumjuwa huyu anafanya kazi ktk idara.

Idara ni nyeti sana na uwendeshaji wake ni nyeti vile vile. Hata wale tuna wasema ni wana idara yes bado tuna hisi hakuna mtu at confirm huyu ni mwana idara kwasababu hakuna ajira za wana idara. Ila wanachaguliwa kutoka sehemu maalumu au vitengo maalumu.

Haya majabali yako imara sana na yanalinda siri zaid ya silaha maaana yanajuwa ukitoa siri waliwa kichwa. End
Eti na wewe kilaza ni Tiss aisee tuna Safari ndefu hata kuandika hujui" kunjuwa" ndo uandishi gani kilaza mwana idara!?
 
Back
Top Bottom