Siyo Siri huyu Mchezaji Henock Inonga wana Simba SC tunampenda ila ndiyo anatuumiza mno Kimatokeo

Siyo Siri huyu Mchezaji Henock Inonga wana Simba SC tunampenda ila ndiyo anatuumiza mno Kimatokeo

Mashindano ya Caf hayaitaji Kiburi ni uwekezaji na heshma Kwa mpinzani wako, ndio Siri ya mafanikio.
Iyo Mapinduzi cup ulitandikwa ukatolewa Kwa aibu.
CAF ipi? Ile ya walioshindwa au ya mabingwa?
 
Wewe ni shabiki maandazi. Manula kaokoa Penati iliyosababishwa na Onyango, washambuliaji wamekosa nafasi kibao. Lawama zote umeelekeza kwa Henock kama vile iliandikwa lazima iwe 0-0.
 
Ingawa bocco alikosa magoli yeye ndio alibadilisha mchezo , kabla ya kuingia simba ilikuwa haileti mashambulizi ndani ya mita 18 vuta kumbukumbu first half .
Baleke na sakho walizidiwa
Sio kweli nafasi nyingi alitengeneza Chama
 
Inonga pekee yake anaweza wapi wakati kwenye boksi kuna watu watano warefu zaidi yake,ww ulitaka afanye nn.

Kama lawama anaye stahili kwa leo Bocco chance tatu kashindwa kutupia,hata moja.
Kwanini alitolewa Baleke?
 
Ingawa bocco alikosa magoli yeye ndio alibadilisha mchezo , kabla ya kuingia simba ilikuwa haileti mashambulizi ndani ya mita 18 vuta kumbukumbu first half .
Baleke na sakho walizidiwa
Sahihi kabisa
 
Tuache Uchawi, Henock kapiga Boli na katubeba sana.

Uzembe wake Mmoja, ulitakiwa kufunikwa na Nafasi tatu alipata Boko akapiga Boko, na nafasi Moja ya Chama ambayo badala ya kutumia akili yeye katumia nguvu.

Umaliziaji Simba, bado kilio.
Kwa Bocco sawa katugharimu sana ila kwa Chama sijakuelewa mkuu na si vizuri kumzungumzia mwamba kwa style hiyo as if sio mwanasimba mwenzetu
 
Mashindano ya Caf hayaitaji Kiburi ni uwekezaji na heshma Kwa mpinzani wako, ndio Siri ya mafanikio.
Iyo Mapinduzi cup ulitandikwa ukatolewa Kwa aibu.
Kwani simba hawakuw na heshima au ulitazamaje game.
 
Simba ingetumia nafasi ilizopata haya yote yasingekuwepo. Ni kweli Inonga Tabia yake ya nendarudi imetoa chances 2 Kwa wapinzani. Moja kasevu Manura ya pili ndo Hilo goli. Tuwe wakweli Horoya haikuwa Timu ya kuifunga Simba Leo.
Lile goli unamlaumu vipi inonga au mm niliangalia tv kwa nyuma ?
 
Inonga pamoja na kucheza vizuri alikuwa na mapungufu mengi hata ile penati alikuwa na uwezo wa kuchukua mpira kabla jamaa ajapiga lakini akawa anarudi nyuma anasubiri mshambuliaji amfate
 
Tatizo Lenu mbumbumbu fc ni Moja tu, kujiona nyinyi ni wakubwa kuliko wapinzani mnao cheza nao. Kwenye kundi Lenu zaidi ya Vipers Hakuna timu nyingine ambayo kwenye record za CAF mnaisogelea tena rekodi za miaka ya karibuni.
Ata hao Vipers Kwa uwezo walionao Kwa hivi karibuni kama mkishindwa kupata matokeo Kwa Mkapa kwao wanawafunga bila shaka yoyote.
Ao Vipers kama nyinyi mnavyo waona under dog na wao wanawaona hivyo.
Mnachotakiwa ni kumheshim mpinzani mtaweza kuona mapungufu yake na kuyatumia, mnavyo jitutumua nyinyi na wachezaji wenu uwa wanajitutumua hivyo hivyo.
Haya na leo nyie mmebondwaa huko, tuliza mshonoo.
 
Acha ujinga makosa kama yale ni kawaida kwenye soka,kashabikie rede kama huezi elewa kuwa soka ni mchezo wa makosa
 
Nasubiri Uzi utakaomfungulia Bocco
46A205DC-F88B-456A-A514-A8140AEE5F59.jpeg
 
Back
Top Bottom