Rejea comment yangu ya kwanza juu yako, and I was right.
Kile kikutokacho moyoni , mdomoni na kimawazo, hakina tofauti sana na kile ukipelekacho chooni.
SAD!
nyinyi ng'ombe wawili msije fanya kesho nikaenda field kupiga picha kwa ajili yenu.Mkuu usipokuwa na kitu kichwani kubali yaishe.
Ni vyema hali ya ukosefu wa maendeleo ukasawazishwa mapemaYeah...inafikirisha....unaweza kuelewa ni kwa nini watu fulani wanapata tabu kukubali uwepo wa jana la corona (covid19)! Na vikao tunasusa😱😱
Itapunguza kura....picha za miradi isiyokamilika hazinogi......lyrics za kuombea kura zilishaandaliwa, sasa kuanza kuzibadili kwa muda huo uliobaki mziki mzima utaharibika.
Napita tu jameni.
Mkorinto ufala ni wa hiyo picha ya Daily News.nyinyi ng'ombe wawili msije fanya kesho nikaenda field kupiga picha kwa ajili yenu.
mnaishi ufala huko halafu mnataka kuwa wasemaji wa yanayoendelea dsm!!!!
wewe ndio unakomaa kuelezea ya kwako binafsi,ujenzi haujasimama.Mkorinto ufala ni wa hiyo picha ya Daily News.
Ikosoe.
Ni mjan gani hayo ndago ausangariUgumu wa hali uko wapi mkuu? na Hizi Mvua unafikiri utazuia majani yasiote mahali palipo na Udongo?
Picha ni kama imetengenezwa tu.
Ni hapo sasa, siye ng'ombe tuna akili kuliko wewe nguchiro.nyinyi ng'ombe wawili msije fanya kesho nikaenda field kupiga picha kwa ajili yenu.
mnaishi ufala huko halafu mnataka kuwa wasemaji wa yanayoendelea dsm!!!!
Daily News gazeti ka serikali, siyo tabloid, hawatengenezi picha.Picha ni kama imetengenezwa tu.
Subwiri nimalize Kujifwikiza
Ndio swali la msingiKwanini kazi imestop sasa?
True na tumshukuru huyu mpiga picha wa Daily News, ujumbe mzito sana huu.A picture speaks a thousand words.
Kuna watu hata akiona picha ya mtu amelala chini anatoka povu watasema anatoa Moshi wa sigara.
Gazeti Lao wenyewe halafu wanajitetea ohh mara nyasi zimefanya nini. Kama umefanya kitu kizuri, huna haja ya kukitolea maelezo kwa masaa matatu. Si kitu kitakua kinaonekana.......mtu anatoa maelezo kwasababu anajua alichofanya hakikubaliki.True na tumshukuru huyu mpiga picha wa Daily News, ujumbe mzito sana huu.
Habari za Wuhan , China mzee!Gazeti Lao wenyewe halafu wanajitetea ohh mara nyasi zimefanya nini. Kama umefanya kitu kizuri, huna haja ya kukitolea maelezo kwa masaa matatu. Si kitu kitakua kinaonekana.......mtu anatoa maelezo kwasababu anajua alichofanya hakikubaliki.
Huyu jamaa angejua saizi bandari imesimama kupokea mzigo ya meli nyingine wanashusha vifaa vya huu mradi tu asingekuja huku shida serikali hai expose sana mambo yakeJidu La Mabambasi,
... kilichokufikirisha nini wakati taarifa rasmi ya serikali ni kuwa mradi umekamilika kwa 75%?