Siyo umetoka huko na 'Domo Lako' umeshakula Mtindii na Kiporo cha Kande unakimbilia tu 'Kumbusu' Mtoto wa Watu haitakiwi kabisa Kiafya

Siyo umetoka huko na 'Domo Lako' umeshakula Mtindii na Kiporo cha Kande unakimbilia tu 'Kumbusu' Mtoto wa Watu haitakiwi kabisa Kiafya

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Siyo tabia nzuri kubusu watoto wa watu hasa midomoni pale tunapowatembelea. Midomo ya watu wazima hasa wasio wazazi wa mtoto husika haiwezi kuwa salama, pia ni ngumu kujua mhusika kapita wapi kabla ya hapo. Huu siyo upendo wala usasa. Tunapaswa kuikemea tabia hii.

Chanzo: AfyaInfo
 
Back
Top Bottom