Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

hili halina ubishi!
tumeendekeza siasa kwenye mambo yasiyofaa kuleta siasa matokeo yake tumeigawa nchi kwa wadukuzi
 
Na kinachoniacha hoi, ikiwa hizi tetesi zina ukweli kwanini jeshi na TISS wapo kimya?

Kwamba hawajui anayedai miaka saba katumwa?

Hawajui kwamba huko Mwanza wapo wengi na mpaka wanaongea kisukuma?
wapo katoro,hadi kahama aisee wanaongea kisukuma kabisa,kahama pale kuna jengo lina bendera ya Rwanda...ma Rais wa mbele watapata shida sana kwa mpeneyezo unaotokea sasa hivi
 
Kinyago chako kinakuja kukutisha
 
Kunasiri kubwa bado ila Magu sio mjinga kihivyo
 
Let assume kuw Mr.Slim ni hatari kuliko tunavyofikiria ,ana ma spy 200 wa kike na udogo wa nchi yake sio hoja, swali ni je anaweza kufanya nini? Kuipiga tz nyuklia ..................siielewagi hii kitu!
 
Sisi tunataka mahusiano mazuri na nchi jiran mambo mengine ni hisia zenu nyinyi kwanza ni ndungu zetu kwa nini tutafute ubaya na nyie?Rwanda&tanzania undugu wetu udumu milele sema Amina@in Lusekero voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…