Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.

Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.

Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.

Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.

Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.

Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.

Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.

Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.

Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.

Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?

Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua.

Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.

Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.


Nipe connection kati ya mossad na Kagame. Acha story za mitaani
 
Nipe connection kati ya mossad na Kagame. Acha story za mitaani
Unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo ktk espionage issues.
Israel ina mahusiano makubwa ya kidiplomasia na Rwanda, Tanzania haina mahusiano mazuri na Israel ,na majuzi tu ilidhihirika UN.
kwa hiyo spies wa Rwanda hupelekwa Israel na kupewa mafunzo na trainers wa MOSSAD, yote haya hufanyika kwa maslahi mapana ya Israel.
Israel kwa miaka ya hivi Karibuni imekuwa ikiidukua Tanzania kijasusi kupitia Rwanda,zamani waliitumia Kenya.
Usidhani watu tunakurupuka tu kuandika thread, tunajua mengi ya uvunguni.
Yupo wapi yule kanali wa JWTZ mtaalamu wa IT aliyetoweka ghafla wakati wa utawala wa Kikwete?
Rwanda ilijuaje kuwa Balozi aliyekuwa anapelekwa Kigali kuiwakilisha Tanzania alikuwa ni jasusi wa TISS?
Unajua who is behind Mtikila's mystery death? And why?
Unajua ni nani ameifanya Congo isiwe stable Hadi leo and why?
Tanzania ilikuwa vizuri Sana kijasusi lakini sasa hivi hamna kitu, kuendekeza siasa kwenye kila jambo ndo kunaenda kuligharimu taifa letu.
Wewe ukikurupuka Sana kumu under rate Mr slim.
Halafu kukurupuka kwako unataka kuona Uko sawa.
Museveni keshamshtukia ndo maana alikuwa anapanga kumfanyia assassination, Gazeti la Reddpepper lilipofichua likafungiwa.
Huyu wa kwetu ndo anamwona best, hakuna urafiki Kati ya binadamu na nyoka.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo ktk espionage issues.
Israel ina mahusiano makubwa ya kidiplomasia na Rwanda, Tanzania haina mahusiano mazuri na Israel ,na majuzi tu ilidhihirika UN.
kwa hiyo spies wa Rwanda hupelekwa Israel na kupewa mafunzo na trainers wa MOSSAD, yote haya hufanyika kwa maslahi mapana ya Israel.
Israel kwa miaka ya hivi Karibuni imekuwa ikiidukua Tanzania kijasusi kupitia Rwanda,zamani waliitumia Kenya.
Usidhani watu tunakurupuka tu kuandika thread, tunajua mengi ya uvunguni.
Yupo wapi yule kanali wa JWTZ mtaalamu wa IT aliyetoweka ghafla wakati wa utawala wa Kikwete?
Rwanda Kagame Na Amani Ya Congo Wapi Na Wapi Congo Inapata Uhuru Hali Haikuwa Shwari Na Imeenda Hivyo Mpaka Leo Kagame Na Museveni Ni Vibaraka Tu Wa Wazungu Ila Kutudanganya Kagame Kaivuruga Kongo Hapana Kongo Imevurugwa Muda Mrefu Sana Na Nchi Za Magharibi
 
Unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo ktk espionage issues.
Israel ina mahusiano makubwa ya kidiplomasia na Rwanda, Tanzania haina mahusiano mazuri na Israel ,na majuzi tu ilidhihirika UN.
kwa hiyo spies wa Rwanda hupelekwa Israel na kupewa mafunzo na trainers wa MOSSAD, yote haya hufanyika kwa maslahi mapana ya Israel.
Israel kwa miaka ya hivi Karibuni imekuwa ikiidukua Tanzania kijasusi kupitia Rwanda,zamani waliitumia Kenya.
Usidhani watu tunakurupuka tu kuandika thread, tunajua mengi ya uvunguni.
Yupo wapi yule kanali wa JWTZ mtaalamu wa IT aliyetoweka ghafla wakati wa utawala wa Kikwete?
Rwanda ilijuaje kuwa Balozi aliyekuwa anapelekwa Kigali kuiwakilisha Tanzania alikuwa ni jasusi wa TISS?
Unajua who is behind Mtikila's mystery death? And why?
Unajua ni nani ameifanya Congo isiwe stable Hadi leo and why?
Tanzania ilikuwa vizuri Sana kijasusi lakini sasa hivi hamna kitu, kuendekeza siasa kwenye kila jambo ndo kunaenda kuligharimu taifa letu.
Wewe ukikurupuka Sana kumu under rate Mr slim.
Halafu kukurupuka kwako unataka kuona Uko sawa.
Museveni keshamshtukia ndo maana alikuwa anapanga kumfanyia assassination, Gazeti la Reddpepper lilipofichua likafungiwa.
Huyu wa kwetu ndo anamwona best, hakuna urafiki Kati ya binadamu na nyoka.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo ktk espionage issues.
Israel ina mahusiano makubwa ya kidiplomasia na Rwanda, Tanzania haina mahusiano mazuri na Israel ,na majuzi tu ilidhihirika UN.
kwa hiyo spies wa Rwanda hupelekwa Israel na kupewa mafunzo na trainers wa MOSSAD, yote haya hufanyika kwa maslahi mapana ya Israel.
Israel kwa miaka ya hivi Karibuni imekuwa ikiidukua Tanzania kijasusi kupitia Rwanda,zamani waliitumia Kenya.
Usidhani watu tunakurupuka tu kuandika thread, tunajua mengi ya uvunguni.
Yupo wapi yule kanali wa JWTZ mtaalamu wa IT aliyetoweka ghafla wakati wa utawala wa Kikwete?
Rwanda ilijuaje kuwa Balozi aliyekuwa anapelekwa Kigali kuiwakilisha Tanzania alikuwa ni jasusi wa TISS?
Unajua who is behind Mtikila's mystery death? And why?
Unajua ni nani ameifanya Congo isiwe stable Hadi leo and why?
Tanzania ilikuwa vizuri Sana kijasusi lakini sasa hivi hamna kitu, kuendekeza siasa kwenye kila jambo ndo kunaenda kuligharimu taifa letu.
Wewe ukikurupuka Sana kumu under rate Mr slim.
Halafu kukurupuka kwako unataka kuona Uko sawa.
Museveni keshamshtukia ndo maana alikuwa anapanga kumfanyia assassination, Gazeti la Reddpepper lilipofichua likafungiwa.
Huyu wa kwetu ndo anamwona best, hakuna urafiki Kati ya binadamu na nyoka.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app

IT expert kuwa jeshini basi umeconclude yote hayo. Nakuuliza IPI connection ya mossad na R.. ! Tz ina mahusiano mabaya na Mossad kiaje na lini.., Tz now ipo vizuri sana Israel, msimamo wa Jerusalem upo hivi, Un bado wanaamini lazma muafaka ufikiwe btn Israel & Palestinian ndiyo mji mkuu..tz n member wa UN na hatuwezi kwenda against Dunia na UN. Msimamo wa Tanzania na UN upo crear. Nadhan unafahamu nchi ngap ziliunga mkono Un. Siyo kila k2 tunaandika hapa.

But Mr slim hawezi na hana uwezo huo. Ulioandika ni story za kahawa na vijiweni. Hata wewe Leo nenda nchi yeyote omba zaa mtoto na chukua URaia wa hiyo nchi..mtoto wako anaruhusiwa kuwa mtumishi makini wa nchi.
 
Hyo hoja dhaifu kdg japo si sana. Kwani ukiona mtu anaonekana mnyarwanda basi amepandikizwa?? Ndivyo unavyomini?? Mara ngapi magazetini wageni wanatangaza kuomba uraia? Hv ukiulizwa Rostam ni mtu wa wapi utasema wa Iran?? Wakati yy anasema ni mnyamwezi wa igunga kadhalika Bashe Hussein utasema ni mtu wa somalia sio??

Kama unafuatilia vzr baada ya kufa raisi wa Zambia unajua aliyekua raisi wa mpito alikua mzungu? But ni mzambia so usihitimishe kuwa ukiona mnyarwanda mahali basi kapandikizwa JAPO inawezekana ikawa kweli.
Nadhan hapa hoja ni raia wa kigeni kufanya kazi zaid kupewa kitengo nyeti serikalini
 
Unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo ktk espionage issues.
Israel ina mahusiano makubwa ya kidiplomasia na Rwanda, Tanzania haina mahusiano mazuri na Israel ,na majuzi tu ilidhihirika UN.
kwa hiyo spies wa Rwanda hupelekwa Israel na kupewa mafunzo na trainers wa MOSSAD, yote haya hufanyika kwa maslahi mapana ya Israel.
Israel kwa miaka ya hivi Karibuni imekuwa ikiidukua Tanzania kijasusi kupitia Rwanda,zamani waliitumia Kenya.
Usidhani watu tunakurupuka tu kuandika thread, tunajua mengi ya uvunguni.
Yupo wapi yule kanali wa JWTZ mtaalamu wa IT aliyetoweka ghafla wakati wa utawala wa Kikwete?
Rwanda ilijuaje kuwa Balozi aliyekuwa anapelekwa Kigali kuiwakilisha Tanzania alikuwa ni jasusi wa TISS?
Unajua who is behind Mtikila's mystery death? And why?
Unajua ni nani ameifanya Congo isiwe stable Hadi leo and why?
Tanzania ilikuwa vizuri Sana kijasusi lakini sasa hivi hamna kitu, kuendekeza siasa kwenye kila jambo ndo kunaenda kuligharimu taifa letu.
Wewe ukikurupuka Sana kumu under rate Mr slim.
Halafu kukurupuka kwako unataka kuona Uko sawa.
Museveni keshamshtukia ndo maana alikuwa anapanga kumfanyia assassination, Gazeti la Reddpepper lilipofichua likafungiwa.
Huyu wa kwetu ndo anamwona best, hakuna urafiki Kati ya binadamu na nyoka.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app

I wish ningeweza kukujibu ... Ila sheria zitanifunga hapa
Endelea kujifunza, siku moja utaweza kujenga hoja nzuri zaidi
Jitahidi usome sana na kuongea kidogo ili tusijue uwezo wako
Nakushauri tu as your brother
 
Unazidi kudhihirisha uwezo wako mdogo ktk espionage issues.
Israel ina mahusiano makubwa ya kidiplomasia na Rwanda, Tanzania haina mahusiano mazuri na Israel ,na majuzi tu ilidhihirika UN.
kwa hiyo spies wa Rwanda hupelekwa Israel na kupewa mafunzo na trainers wa MOSSAD, yote haya hufanyika kwa maslahi mapana ya Israel.
Israel kwa miaka ya hivi Karibuni imekuwa ikiidukua Tanzania kijasusi kupitia Rwanda,zamani waliitumia Kenya.
Usidhani watu tunakurupuka tu kuandika thread, tunajua mengi ya uvunguni.
Yupo wapi yule kanali wa JWTZ mtaalamu wa IT aliyetoweka ghafla wakati wa utawala wa Kikwete?
Rwanda ilijuaje kuwa Balozi aliyekuwa anapelekwa Kigali kuiwakilisha Tanzania alikuwa ni jasusi wa TISS?
Unajua who is behind Mtikila's mystery death? And why?
Unajua ni nani ameifanya Congo isiwe stable Hadi leo and why?
Tanzania ilikuwa vizuri Sana kijasusi lakini sasa hivi hamna kitu, kuendekeza siasa kwenye kila jambo ndo kunaenda kuligharimu taifa letu.
Wewe ukikurupuka Sana kumu under rate Mr slim.
Halafu kukurupuka kwako unataka kuona Uko sawa.
Museveni keshamshtukia ndo maana alikuwa anapanga kumfanyia assassination, Gazeti la Reddpepper lilipofichua likafungiwa.
Huyu wa kwetu ndo anamwona best, hakuna urafiki Kati ya binadamu na nyoka.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
huna lolote ujualo..umejaa blaahblaah tu
 
Watz kila mgeni ni spies. Tanzanians know more about their neighboring country than they know about their own country. Funny people indeed.
 
IT expert kuwa jeshini basi umeconclude yote hayo. Nakuuliza IPI connection ya mossad na R.. ! Tz ina mahusiano mabaya na Mossad kiaje na lini.., Tz now ipo vizuri sana Israel, msimamo wa Jerusalem upo hivi, Un bado wanaamini lazma muafaka ufikiwe btn Israel & Palestinian ndiyo mji mkuu..tz n member wa UN na hatuwezi kwenda against Dunia na UN. Msimamo wa Tanzania na UN upo crear. Nadhan unafahamu nchi ngap ziliunga mkono Un. Siyo kila k2 tunaandika hapa.

But Mr slim hawezi na hana uwezo huo. Ulioandika ni story za kahawa na vijiweni. Hata wewe Leo nenda nchi yeyote omba zaa mtoto na chukua URaia wa hiyo nchi..mtoto wako anaruhusiwa kuwa mtumishi makini wa nchi.
unataka connection ipi? Nadhani kila kitu kipo clear nimeelezea hapa.
Wewe ni ccm na ukiwa ccm ni lazima uwe mnafiki, hujajibu hoja zangu zote hapo juu, bado ume stick eti ni story za kahawa.
Utabakia hivyo hivyo lakini huwezi kuukimbia ukweli.
 
acha kutukana watz hao watu wenu wamefundishwa tz kwaiyo usitukane hovyo kama mwisho wa kufikiri ni wa huyó aliyeandika
afu mi najiuliza hivi kwa nini wakenya na wanyarwanda wanatuchukia sana sisi wabongo???afu ukiangalia wamejazana kinoma huku dar!!
 
Back
Top Bottom