Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

My Son drink water

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
4,932
Reaction score
13,306
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.

Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.

Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.

Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.

Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.

Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.

Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.

Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.

Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.

Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?

Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua.

Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.

Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.
 
Mr. threader, you miss the point here! hakuna direct evidence kuwa MOSSAD ndo mentor wa spies from mr. Slim..hizo ni speculations tu. In short, nchi zote za ukanda huu wa maziwa makuu haziaminiani. kila mmoja ana m-spy mwenzake kimya kimya. For those who are luck (spies) wanafanikisha mission na kurudi nyumbani, but wengi wanafia huko kusikojulikana.
Mr. Slim ni opportunist sana, anajaribu kujiweka karibu na Israel ili apata advantage ya kupata silaha and military training...but he ain't worth it!

Mkuu, kwa nini usijiulize ma-spy wa tz walioko Rwanda etc? unakumbuka Rwanda walishawahi kumkataa balozi mpya wa Tanzania kwamba ni spy? kwenye hiyo issue, namjua mpaka aliyevujisha siri kwa Mr. Slim..but alishashughulikiwa siku nyingi. Tension ya JK na PK, Mr.Slim alikuwa halali ndani. alikuwa anahama hama kila usiku... Do you Know why? connect the dot!

sijui exposure yako in real life, lakini Mr. Slim siyo wa kuogopwa kihivyo. kwa wale adui zake wanaouwa wakiwa ughaibuni, ni sababu nyingi ikiwepo security issue ya nchi husika. kwa mfano, SA hata wewe unaweza fanya tukio lolote na uka-walk away with it! kuna mtu anaitwa Joel mutabazi, former bodyguard wa kagame ndo mtu wa mwisho kuongea na Patrick Kalegeya kwenye simu minutes away before his demise. huyu mutabazi ni adui sasa na serikali ya kigali. UNHCR # yake ipo kwenye bracket. The true assassin ni jamaa anaitwa Apollo Gafaranga, rafiki yake na marehemu kalegaya. so the point here is, ni rahisi kujua rafiki yako yuko wapi...and kalegaya trusted his friend without doubt!

Ntabana.jpg
1526922_1439549639596522_1439995272_n1.jpg

MUUWAJI WA KALEGEYA and owner of Cine Star Cinema in Nyamilambo.

14527-leisure.jpg
cinestar-cinema-2.jpg


ITAENDELEA...
 

Attachments

  • upload_2018-2-5_6-2-8.jpeg
    upload_2018-2-5_6-2-8.jpeg
    2 KB · Views: 139
Prof ulimwengu wa intelligencia huwa hausubiri direct evidence. Ndiyo maana mpaka sasa hivi ujasusi unahitaji sana intelligent people
Mkuu Consigliere, where i come from ushahidi ni jambo muhimu sana. hata kama huwa ni jambo la siri, mwishowe hujulikana tu. Ila kujua huyu ni spy inatakiwe uwe smart pia. Spies wengi wa kagame wametengenezwa humu humu Afrika na wengine europe. wengi wamepitia pale monduli na wengine huja kwenye course hapo JWTZ
 
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.
Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.
Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.
Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.
Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.
Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.
Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.
Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.
Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.
Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?........
Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua .
Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.
Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.
Nimeipenda hii mod, unajua tuwe waangalifu na watu kama Chipa GM, kwa sasa wapo TZ kwa wingi, Ke na ME. Yote hiyo ni kutaka kurudisha Bahima Empire in East Africa. Huyo anayesema eti Mr. Slim siyo wa kuogopwa anajidanganya. JK hakuwa mjinga kumsitukia. Na ikiwa sasa hatusituki... si inawezekana ikawa ndiyo sindano hiyo imeshaingia na inafanya kazi TZ?
 
hayo ya MOSSAD na the real Slim Shady wa Afrika sina uhakika nayo ila ninaamini kabisa ubora wa intelijensia yetu si sawa na zamani...
umeshuka sana kwa kweli.
well said, inteligensia ya tz imeshuka sana. Harafu watu hawashituki. tuko uchi kuliko watu wanavyofikiri. watu wanakuja, wanachota data, hawooo...! Issue nyingine ni sisi wenyewe. personnel wengi wa TISS ni vijana na hawana weledi. nilishatoa kisa cha usalama wa taifa waliojikojolea pale Millennium Tower baada ya gaidi kutoweka(varnish) machoni mwao! walikuja kukanusha kwa nguvu zote! kwa mfano, mwaka 2008, TZ ilikuwa ina Raia wa kutoka Rwanda elfu 10(10,000) hii ni undercover research ya wakati huo Ukitoa idadi ya wakimbizi. vikao vikifanyikia Learders club (those days)!...sijui kama bado wanafanyia huko. Balozi wa kipindi hicho aliwahi kusoma murutunguru secondary huko mwanza na secretary wake alikuwa ameolewa na mtz. kuna kijana mmoja sikumbuki cheo kamili...i guess alikuwa administrator hapo ubalozini, akawa anasoma hapo IFM na akawa anajichanganya mpaka Night club za kinondoni...na demu wake alimpangishia hapo karibu na mahakama ya Kinondoni...

so my point is, tumedukuliwa vya kutosha kwa sababu they're among us. Pia, Tumekosa dira kwenye medani hizi za kishushushu. Siasa nayo imechangia kuwa hivi tulivyo leo
 
well said, inteligensia ya tz imeshuka sana. Harafu watu hawashituki. tuko uchi kuliko watu wanavyofikiri. watu wanakuja, wanachota data, hawooo...! Issue nyingine ni sisi wenyewe. personnel wengi wa TISS ni vijana na hawana weledi. nilishatoa kisa cha usalama wa taifa waliojikojolea pale Millennium Tower baada ya gaidi kutoweka(varnish) machoni mwao! walikuja kukanusha kwa nguvu zote! kwa mfano, mwaka 2008, TZ ilikuwa ina Raia wa kutoka Rwanda elfu 10(10,000) hii ni undercover research ya wakati huo Ukitoa idadi ya wakimbizi. vikao vikifanyikia Learders club (those days)!...sijui kama bado wanafanyia huko. Balozi wa kipindi hicho aliwahi kusoma murutunguru secondary huko mwanza na secretary wake alikuwa ameolewa na mtz. kuna kijana mmoja sikumbuki cheo kamili...i guess alikuwa administrator hapo ubalozini, akawa anasoma hapo IFM na akawa anajichanganya mpaka Night club za kinondoni...na demu wake alimpangishia hapo karibu na mahakama ya Kinondoni...

so my point is, tumedukuliwa vya kutosha kwa sababu they're among us. Pia, Tumekosa dira kwenye medani hizi za kishushushu. Siasa nayo imechangia kuwa hivi tulivyo leo
Hii iko wazi mkuu Prof.... Ukitaka uhakika kamili,zungukia VIKOSI vya JKT mwaka huu,na u combine pamoja vijana kutoka KiGoMa na Kagera aiseeee Kunataizo kubwa.
 
Tunayaona ma KJ huku aiseeee mpaka nawaza usaili huwa wafanyajwe now days!! Intelligence ipo ilaaa Mr Slim anawindaaa
 
Back
Top Bottom