Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Kwahyo wale wakenya wako kule moshi au wale Wazambia na wamalawi kule mbeya nao ni ma Spy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tunaongelea mtu ambaye anajulikana nia yake ni nini, hawana good intentions hao wanyarwanda,kinachotokea ni marais wa awamu zijazo kulipukiwa na bomu linalotengenezwa sasa hivi kwa mbwembwe zote
 
Let assume kuw Mr.Slim ni hatari kuliko tunavyofikiria ,ana ma spy 200 wa kike na udogo wa nchi yake sio hoja, swali ni je anaweza kufanya nini? Kuipiga tz nyuklia ..................siielewagi hii kitu!

Hata mimi sielewi kama hao maspy mpaka humu Jf watu wamejua why serikal haiwakamati.
 
Lengo hasa la mr slim ni nini mpaka awe na maspies wengi kiasi hiki?
Kuna kipindi ilisemekana kuna mwanajeshi mwenye cheo kikubwa tena ni mtaalam wa IT alitoweka na hajulikani alipokwenda,je ilishajulikana alipo?
Mbona kazi ile ilishaisha kitambo. Sema zile ni kazi za chini kwa chini hazina kelele
Kwa hiyo wewe unajua kuliko kipilimba?
 
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.

Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.

Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.

Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.

Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.

Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.

Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.

Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.

Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.

Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?

Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua.

Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.

Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.
Uko sahihi mkuu, huyu kiumbe sio wa kumchekea hata kidogo, ni hatari sana.

Sielewi ni Kwann sisi Tanzania tumesogeza sana uhusiano na huyu mtu, sio vibaya kuwa na uhusiano wa Karibu na nchi jirani, lakini je tumejiandaa psychologically kupokea lolote analoweza kutufanyia?

Nakumbuka kile kisa cha mwanajeshi wa JWTZ mtaalam wa IT alietorokea Rwanda miaka michache iliyopita, sijui kile kisa kiliishia wapi!
 
Uko sahihi mkuu, huyu kiumbe sio wa kumchekea hata kidogo, ni hatari sana.

Sielewi ni Kwann sisi Tanzania tumesogeza sana uhusiano na huyu mtu, sio vibaya kuwa na uhusiano wa Karibu na nchi jirani, lakini je tumejiandaa psychologically kupokea lolote analoweza kutufanyia?

Nakumbuka kile kisa cha mwanajeshi wa JWTZ mtaalam wa IT alietorokea Rwanda miaka michache iliyopita, sijui kile kisa kiliishia wapi!
Ndg yangu umewahi sikia operation za kijeshi tena za kijasusi zikatangazwa kama afande Mambosasa anavyotangaza akikamata silaha au majambazi?
Mimi nadhani tupunguze woga. Kuna shida hapa naona baadhi ya wachangiaji wengi wanaonesha kumjua vzr Mr Slim (japo nina shaka kama wanamjua vzr kweli) lkn hawajui kabis syatems za nchi yao. Matokeo yake mnaleta hapa unnecesaary tensions. Haya mambo ya kupandikiiana watu ni mchezo unaofanywa na nchi zote duniani.

Nashauri tuweke basi bidii kujifunza mambo yetu ili tuwe na ujasiri na system zetu na pengine tutaweza kushauri pale tunapoona mapungufu
 
Juzi Museven amekutana na Paka Addis ababa tukumbuke tu Paka ni Think tank na sasa ndio ana Lead AU, Ana long term plan Hatu overate ila the truth must be sayin regardless it's bitter or sweeter
,Nimeshakutana na Wanyarwanda kibao Serikalini Sielewi wanafikiaje kupate Vitengo kwenye Sehemu nyeti Nilienda TPA nkaogopa kwa kweli, Sitaki Kuamini vyombo vyetu vya Usalama vimelala Naamini kama mimi tu kajamba nani nimeona Makosa basi wao wako on progress ku correct izo Error, Nina imani kubwa na JPM japo paka ni Threat ila Kwa mziki wa JPM basi tusubiri tu na tuwe wazalendo nilichachukua hatua kadhaa kama mzalendo kwa kureport Baadhi ya sehemu kwa siri juu ya uwepo wa hawa wenzetu illegal Tena wakiwa Top officers.
 
Juzi Museven amekutana na Paka Addis ababa tukumbuke tu Paka ni Think tank na sasa ndio ana Lead AU, Ana long term plan Hatu overate ila the truth must be sayin regardless it's bitter or sweeter
,Nimeshakutana na Wanyarwanda kibao Serikalini Sielewi wanafikiaje kupate Vitengo kwenye Sehemu nyeti Nilienda TPA nkaogopa kwa kweli, Sitaki Kuamini vyombo vyetu vya Usalama vimelala Naamini kama mimi tu kajamba nani nimeona Makosa basi wao wako on progress ku correct izo Error, Nina imani kubwa na JPM japo paka ni Threat ila Kwa mziki wa JPM basi tusubiri tu na tuwe wazalendo nilichachukua hatua kadhaa kama mzalendo kwa kureport Baadhi ya sehemu kwa siri juu ya uwepo wa hawa wenzetu illegal Tena wakiwa Top officers.
Hyo hoja dhaifu kdg japo si sana. Kwani ukiona mtu anaonekana mnyarwanda basi amepandikizwa?? Ndivyo unavyomini?? Mara ngapi magazetini wageni wanatangaza kuomba uraia? Hv ukiulizwa Rostam ni mtu wa wapi utasema wa Iran?? Wakati yy anasema ni mnyamwezi wa igunga kadhalika Bashe Hussein utasema ni mtu wa somalia sio??

Kama unafuatilia vzr baada ya kufa raisi wa Zambia unajua aliyekua raisi wa mpito alikua mzungu? But ni mzambia so usihitimishe kuwa ukiona mnyarwanda mahali basi kapandikizwa JAPO inawezekana ikawa kweli.
 
Hyo hoja dhaifu kdg japo si sana. Kwani ukiona mtu anaonekana mnyarwanda basi amepandikizwa?? Ndivyo unavyomini?? Mara ngapi magazetini wageni wanatangaza kuomba uraia? Hv ukiulizwa Rostam ni mtu wa wapi utasema wa Iran?? Wakati yy anasema ni mnyamwezi wa igunga kadhalika Bashe Hussein utasema ni mtu wa somalia sio??

Kama unafuatilia vzr baada ya kufa raisi wa Zambia unajua aliyekua raisi wa mpito alikua mzungu? But ni mzambia so usihitimishe kuwa ukiona mnyarwanda mahali basi kapandikizwa JAPO inawezekana ikawa kweli.
Mkuu sikumuona na Kumuacha ivi ivi, Mpaka nimesema kuwa nilishangaa ni baada ya uchunguzi wa Chini chini nilimfatilia uyo mtu background yake nikaona ina corner mingi japo ni Raia kabisa kwa sasa ila hakufata taratibu Za Kuingia nchini
 
Juzi Museven amekutana na Paka Addis ababa tukumbuke tu Paka ni Think tank na sasa ndio ana Lead AU, Ana long term plan Hatu overate ila the truth must be sayin regardless it's bitter or sweeter
,Nimeshakutana na Wanyarwanda kibao Serikalini Sielewi wanafikiaje kupate Vitengo kwenye Sehemu nyeti Nilienda TPA nkaogopa kwa kweli, Sitaki Kuamini vyombo vyetu vya Usalama vimelala Naamini kama mimi tu kajamba nani nimeona Makosa basi wao wako on progress ku correct izo Error, Nina imani kubwa na JPM japo paka ni Threat ila Kwa mziki wa JPM basi tusubiri tu na tuwe wazalendo nilichachukua hatua kadhaa kama mzalendo kwa kureport Baadhi ya sehemu kwa siri juu ya uwepo wa hawa wenzetu illegal Tena wakiwa Top officers.
Unamuamini JP zaidi kuliko Huyo Paka? Huyo JP Ana uzoefu wowote kwny masuala ya intelligence au Jeshi? Km jibu ni Ndio basi neema kwetu, ila km ni vise versa basi hatari kubwa kwa nchi yetu!

Kumbuka Huyo paka ni jasusi mbobezi, sio kwa kusomea tu Bali kwa kuingia mwenyewe msituni na kutenda!

Umesema umeshawaona wanyarwanda kwny vitengo nyeti serikalini, unajuaje kuwa walio Karibu na Huyo JP sio mapandikizi yq paka?

What if mapandikizi ya paka yapo mpaka kwny Ile cream ya juu kabisa ya serikali yetu?

Kuna tetesi kuwa hata walinzi wa Karibu paka ametusaidia, unaona Kuna siri tena Hapo? That means kila kinachodiliwa jamaa anapewa taarifa zikwa bado mbichii!!

Binafsi huyu jamaa Tangu aingie kwny malumbano na JK wakati ule akiwa bado madarakani, plus sakata lake na marehemu Mtikila, Sina imani nae hata kidogo!
 
Unamuamini JP zaidi kuliko Huyo Paka? Huyo JP Ana uzoefu wowote kwny masuala ya intelligence au Jeshi? Km jibu ni Ndio basi neema kwetu, ila km ni vise versa basi hatari kubwa kwa nchi yetu!

Kumbuka Huyo paka ni jasusi mbobezi, sio kwa kusomea tu Bali kwa kuingia mwenyewe msituni na kutenda!

Umesema umeshawaona wanyarwanda kwny vitengo nyeti serikalini, unajuaje kuwa walio Karibu na Huyo JP sio mapandikizi yq paka?

What if mapandikizi ya paka yapo mpaka kwny Ile cream ya juu kabisa ya serikali yetu?

Kuna tetesi kuwa hata walinzi wa Karibu paka ametusaidia, unaona Kuna siri tena Hapo? That means kila kinachodiliwa jamaa anapewa taarifa zikwa bado mbichii!!

Binafsi huyu jamaa Tangu aingie kwny malumbano na JK wakati ule akiwa bado madarakani, plus sakata lake na marehemu Mtikila, Sina imani nae hata kidogo!
Wasi wasi ni Akili mkuu.
 
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.

Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.

Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.

Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.

Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.

Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.

Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.

Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.

Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.

Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?

Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua.

Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.

Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.

Daaah wakuu mm mmeniacha kabisa yan kwan uyo mr slim ndo nan afu celew elew ayo mambo ya intelligence yamekaaje kwa mfano
 
Let assume kuw Mr.Slim ni hatari kuliko tunavyofikiria ,ana ma spy 200 wa kike na udogo wa nchi yake sio hoja, swali ni je anaweza kufanya nini? Kuipiga tz nyuklia ..................siielewagi hii kitu!
Usidhani ni kuipiga kijeshi tuu hata economic advantage pia
 
Daaahhh......kwa nondo hizi mmmhhh....
 
Back
Top Bottom