Siyo vizuri mwanamke kuwa na kitambi (nyama uzembe)

Siyo vizuri mwanamke kuwa na kitambi (nyama uzembe)

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,635
Reaction score
5,012
Let Be Real.

Mwanamke mwili wake ndio pambo lake, ndio maana wanasema mwanamke uwa, Mwamke aliye Smart anaujari mwili wake kwenye maeneo tofauti tofauti.

Kwa mwanamke aliye Smart hawezi jiachia kitambi (manyama uzembe), mwanamke anayejari mwili wake hawezi kuwa na kitambi bila kufanya namna ya kuounguza hilo tumbo kwa njia yoyote ya Kuchoma mafuta I.e mazoezi.

Mwanamke aliye na tumbo sense yenyewe inaondoka kabisa, kuna ile Conversation nzuri zaidi ya zote Duniani pale umelala kitandani na Manzi yako munapiga story pale mwanaume mikono unampiga tairi mwanamke kama unamkumbatia mikono inabidi mzunguke sasa kama mwanamke ana kitambi inakuwa shida.

Karne ya 21 elimu ya mazoezi imejaa kila kona unakuwaje na kitambi cha mafuta (nyama uzembe) mwanamke, sizungumzingii tumbo linalotokana na sababu zingine.

Siwezi kuwa na mwanamke mwenye kitambi naona ni mwanamke asiyejari mwili wake.
 
Wewe mbona una six-pack kwenye picha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo picha ni enzi za ujana. Sasa hivi tumbo ninalo..silipendi lakini sitahanaika kulitoa kwaajili ya mtu mwingine. Atakayenipenda apende na tumbo langu..hataki aende zake kwa wasio na matumbo.
 
Kama bado unaruka ruka ni haki yako kujiandikia haya,unafikiri ukishaowa na kupata watoto kuna siku mtakaa idle kitandani kukumbatiana kumbatiana hovyo?

Hicho unachoita kitambi hutakiona kwani ukimwambia akimbie achome mafuta atakwambia basi waandae watoto wapeleke stand kupanda gari waende shule.

Utuambie hapa,upo tayari kufanya majukumu ya mkeo ili awe smart ya kwako yalale?maisha ni zaidi ya urembo subiri ukue.
 
Let Be Real.

Mwanamke mwili wake ndio pambo lake, ndio maana wanasema mwanamke uwa, Mwamke aliye Smart anaujari mwili wake kwenye maeneo tofauti tofauti.

Kwa mwanamke aliye Smart hawezi jiachia kitambi (manyama uzembe), mwanamke anayejari mwili wake hawezi kuwa na kitambi bila kufanya namna ya kuounguza hilo tumbo kwa njia yoyote ya Kuchoma mafuta I.e mazoezi.

Mwanamke aliye na tumbo sense yenyewe inaondoka kabisa, kuna ile Conversation nzuri zaidi ya zote Duniani pale umelala kitandani na Manzi yako munapiga story pale mwanaume mikono unampiga tairi mwanamke kama unamkumbatia mikono inabidi mzunguke sasa kama mwanamke ana kitambi inakuwa shida.

Karne ya 21 elimu ya mazoezi imejaa kila kona unakuwaje na kitambi cha mafuta (nyama uzembe) mwanamke, sizungumzingii tumbo linalotokana na sababu zingine.

Siwezi kuwa na mwanamke mwenye kitambi naona ni mwanamke asiyejari mwili wake.
Kubadlisha MTU karne hii ni ngumu sana ,hawatakuelewa wanawake wengi ni wavivu,mazoezi no ,kubalance mwili kimwonekano na uzito ni jambo LA msingi sana
 
Kama bado unaruka ruka ni haki yako kujiandikia haya,unafikiri ukishaowa na kupata watoto kuna siku mtakaa idle kitandani kukumbatiana kumbatiana hovyo?hicho unachoita kitambi hutakiona kwani ukimwambia akimbie achome mafuta atakwambia basi waandae watoto wapeleke stand kupanda gari waende shule.

Utuambie hapa,upo tayari kufanya majukumu ya mkeo ili awe smart ya kwako yalale?maisha ni zaidi ya urembo subiri ukue.
Mimi ni mtu wa mazoezi na katika ramani ya nyumba yangu moja ya sehemu ni Indoor Gym haijalishi majukumu kihasi gani uyo Mke wangu atakula Workout na yoga za kubafu na muda wa kumpiga tairi utapatikana.
 
Kitambi noma sana wadada wengi wenye matumbo ya hovyo hovyo huwa hawajiamini kabisa.
 
Mtuwache bwana na vitambi vyetu. Mazoezi fanyeni nyie msikose pumzi na kamjamaa kasinywee maana ze biga ze kitambi ze mjamaa izi kunywea and ze pumzi izi kukata.
@Espy => @Atoto

😀😀 Mnakata stimu sana na vitambi vyenu. Yaani mkisha olewa na kuzaa mnajiachia sana.
 
Back
Top Bottom