Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nyie mnajiachia mkishafanya nini? Maana hamzai na mko na mimba[emoji28]@Espy => @Atoto
[emoji3][emoji3] Mnakata stimu sana na vitambi vyenu. Yaani mkisha olewa na kuzaa mnajiachia sana.
Ila kitambi basi tu, mvizoee tu maana hamna namna.