Nyie mnajiachia mkishafanya nini? Maana hamzai na mko na mimba[emoji28]@Espy => @Atoto
[emoji3][emoji3] Mnakata stimu sana na vitambi vyenu. Yaani mkisha olewa na kuzaa mnajiachia sana.
Wanatisha sana
Disgusting
Hahahah nimechka kinoma mkuu😂😂😂Mkuu tunawavumilia wanawake wenye matumbo madogo ila wewe kama hutaki mwanamke mwenye tumbo hata kidogo....
katafute nyoka.
Huo ni ubinafsi. Unaficha uzembe wa kufanya mazoezi nyuma ya kivuli cha kujikubali ulivyo. Hayo matumbo ninutapiamlo. Fanya mazoezi utakuwa fit na mwili utakuwa stable.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo picha ni enzi za ujana. Sasa hivi tumbo ninalo..silipendi lakini sitahanaika kulitoa kwaajili ya mtu mwingine. Atakayenipenda apende na tumbo langu..hataki aende zake kwa wasio na matumbo.
Ubinafsi unatoka wapi ndugu?Huo ni ubinafsi. Unaficha uzembe wa kufanya mazoezi nyuma ya kivuli cha kujikubali ulivyo. Hayo matumbo ninutapiamlo. Fanya mazoezi utakuwa fit na mwili utakuwa stable.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....umetisha ledadaKwa niaba ya wanawake wenye vitambi hatujali na hatujari[emoji1787] andiko lako
[emoji3][emoji3][emoji3]...Sasa yangu nayapunguzaje?Ata ukiwa na matako makubwa nimanyama uzembe pia[emoji125][emoji125][emoji125]
😋😋😋nakuja inbox kwako baeb nikwelekeze jins ya kuyapunguza[emoji3][emoji3][emoji3]...Sasa yangu nayapunguzaje?
Aiseee...Shughuli[emoji39][emoji39][emoji39]nakuja inbox kwako baeb nikwelekeze jins ya kuyapunguza
Nieleze kinapunguaje😋😋😋nakuja inbox kwako baeb nikwelekeze jins ya kuyapunguza