kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.
Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu
naomba utuache!! Ebo. huo ni utamaduni wa chama chetuTakukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.
Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu
...Yani sijui huo ubunge unautamu gani me hadi nashangaa
Acha abana babantu balye amahera iwe bojoKarudi yani mavarangati ya milungula ndo habar ya mjini
Kwani uongozi wetu niwa kuleta Maendeleo?Wanatumia pesa kupata uongozi, Kiongozi huyo huyo akipatata uongozi unatarajia alete Maendeleo au apambanie tumbo lake?
Nani kachaguliwa na wajumbe. Naona bora achaguliwe kilaza yeyote yule kuliko Dr. Kamala. Anayemlinganisha Assumpta na huyu Dr. anakosea mno, Assumpta ana afadhari mara dufu kuliko huyo jamaa.Duh nmetafuna pesa za Kamala, Assumpta na Dr mwenye majigambo lakin elimu ndogo anajiita Dr mazima ila we Kyombo sikuila yako cha ajabu nikakupa kura. Please uwe muungwana na uwaskilize wana Nkenge
Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.
Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu
Kawataja wagombea wote. Yupi anamnunulia baiskeli?Mkuu Riz, Uzi wako uko biased kwa malengo unayoyajua wewe, inaelekea unatumika kufanya propaganda kwa kutumia tumbo badala ya kichwa.
Serikali IPO INA macho na masikio kuliko unavyofikiria we we, kama kuna mgombea alijihusisha na vitendo vya kutoka rushwa,mfumo una unazo taarifa za kila mgombea na yote yalifanyija gizani na mchana kweupe.
Njaa isikufanye kujifanya unajua kuliko vyombo na mifumo ya Serikali, taarifa zilishafika mahala husika, wala huhitaji kutumia nguvu nyingi kwenye mitandao,subiri maamuzi ya vikao.Endelea kupambana ili mgombea wako aongeze ka bakishishi