Uchaguzi 2020 Siyo vyema kwa baadhi ya watia nia CCM huku Jimbo la Nkenge wilayani Misenyi wanavyogawa fedha kimya kimya

Uchaguzi 2020 Siyo vyema kwa baadhi ya watia nia CCM huku Jimbo la Nkenge wilayani Misenyi wanavyogawa fedha kimya kimya

Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.

Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu


Kama wanakupa hela kwanini unawasanua kula hela mkuu mpaka ununue hata pikipiki, sasa wakikamatwa wewe, utaipataje hiyo maana hata wasipotoa kula wewe , unapata faida gani
 
Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.

Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu
naomba utuache!! Ebo. huo ni utamaduni wa chama chetu
Chama kinafuata katiba na pia utamaduni
 
kuna siku nipo zangu kwa mama mkwe nimeenda kusalimia, mara pap kaingia mtu na packet ya chumvi na kiberiti eti vimetoka kwa mgombea
nilitamani nimrarue ila kuwa nilikuwa ugenini nikanyamaza
 
Yani sijui huo ubunge unautamu gani me hadi nashangaa
...
IMG-20200719-WA0002.jpg
 
Duh nmetafuna pesa za Kampala, Assumpta na Dr mwenye majigambo lakin elimu ndogo anajiita Dr mazima ila we Kyombo sikuila yako cha ajabu nikakupa kura. Please uwe muungwana na uwaskilize wana Nkenge
 
Duh nmetafuna pesa za Kamala, Assumpta na Dr mwenye majigambo lakin elimu ndogo anajiita Dr mazima ila we Kyombo sikuila yako cha ajabu nikakupa kura. Please uwe muungwana na uwaskilize wana Nkenge
 
Wanatumia pesa kupata uongozi, Kiongozi huyo huyo akipatata uongozi unatarajia alete Maendeleo au apambanie tumbo lake?
 
Wanatumia pesa kupata uongozi, Kiongozi huyo huyo akipatata uongozi unatarajia alete Maendeleo au apambanie tumbo lake?
Kwani uongozi wetu niwa kuleta Maendeleo?
 

Attachments

  • 2451677_Apandacho_mtu_ndicho_atakachovuna__268_X_480_.mp4
    370.1 KB
Duh nmetafuna pesa za Kamala, Assumpta na Dr mwenye majigambo lakin elimu ndogo anajiita Dr mazima ila we Kyombo sikuila yako cha ajabu nikakupa kura. Please uwe muungwana na uwaskilize wana Nkenge
Nani kachaguliwa na wajumbe. Naona bora achaguliwe kilaza yeyote yule kuliko Dr. Kamala. Anayemlinganisha Assumpta na huyu Dr. anakosea mno, Assumpta ana afadhari mara dufu kuliko huyo jamaa.
 
Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.

Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu


CCM na RUSHWA ni damu damu.
 
Mkuu Riz, Uzi wako uko biased kwa malengo unayoyajua wewe, inaelekea unatumika kufanya propaganda kwa kutumia tumbo badala ya kichwa.
Serikali IPO INA macho na masikio kuliko unavyofikiria we we, kama kuna mgombea alijihusisha na vitendo vya kutoka rushwa,mfumo una unazo taarifa za kila mgombea na yote yalifanyija gizani na mchana kweupe.
Njaa isikufanye kujifanya unajua kuliko vyombo na mifumo ya Serikali, taarifa zilishafika mahala husika, wala huhitaji kutumia nguvu nyingi kwenye mitandao,subiri maamuzi ya vikao.Endelea kupambana ili mgombea wako aongeze ka bakishishi
 
Mkuu Riz, Uzi wako uko biased kwa malengo unayoyajua wewe, inaelekea unatumika kufanya propaganda kwa kutumia tumbo badala ya kichwa.
Serikali IPO INA macho na masikio kuliko unavyofikiria we we, kama kuna mgombea alijihusisha na vitendo vya kutoka rushwa,mfumo una unazo taarifa za kila mgombea na yote yalifanyija gizani na mchana kweupe.
Njaa isikufanye kujifanya unajua kuliko vyombo na mifumo ya Serikali, taarifa zilishafika mahala husika, wala huhitaji kutumia nguvu nyingi kwenye mitandao,subiri maamuzi ya vikao.Endelea kupambana ili mgombea wako aongeze ka bakishishi
Kawataja wagombea wote. Yupi anamnunulia baiskeli?
 
Back
Top Bottom