Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
MADAKTARI KWELI HUONA VITUKO
Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,
Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
Daktari : Hebu vua nguo tuone,
Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.
Daktari : usijali mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.
jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. basi dokta kuona, ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dakika 3 hadi machozi yakamtoka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dushelele ya jamaa ilikua ni kadogo kama betri Ya AAA (betri za remote ya king'amuzi).Daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,
Daktari : enhee Tatizo ni nini???
Jamaa: IMEVIMBAA toka juzi,[emoji23][emoji23][emoji23]
Daktari akazimia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ana tatizo kaingia kwa Daktari ikawa kama ifuatavyo,,
Jamaa: Dokta nina tatizo huku sirini,
Daktari : Hebu vua nguo tuone,
Jamaa: sawa navua ila naomba usicheke, pliz dkt usicheke.
Daktari : usijali mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka mgonjwa.
jamaa akavua suruali kuonesha dushelele yake. basi dokta kuona, ustaarabu ukamshinda akaanza kucheka na akacheka kama dakika 3 hadi machozi yakamtoka.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dushelele ya jamaa ilikua ni kadogo kama betri Ya AAA (betri za remote ya king'amuzi).Daktari alipomaliza kucheka mazungumzo yakaendelea,,
Daktari : enhee Tatizo ni nini???
Jamaa: IMEVIMBAA toka juzi,[emoji23][emoji23][emoji23]
Daktari akazimia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]