This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Sasa ktk hiyo system km Kuna wasio Bora utafungwa tu.Kwamba ukiwa na baki nzuri ndio ufungwi mpira wa kisada ni system ya kucheza kwa timu nzima sio kumtegemea mtu.
Kwahiyo ubora wa kuwafunga Ihefu na Akina Polisi ndogo ubora unaowapa kiburi cha kwenda kuwafunga Al Ahly, Mamelodi na Widad kwa mfano. Watu huwa mnaotaga MCHANA asee.Subiri waanze kucheza izo mechi ndo utajua Kama watatuvusha ama laah! Mpira wa kisasa aumtegemei mtu mmoja au 2, timu inacheza kitimu kuanzia kukaba mpaka kushambulia, ivyo yanga kumaliza unbeaten kwenye mechi zote msimu huu sio kwamba beki peke yake ndo zilikuwa vizuri hapana ni team work ya pamoja kuanzia mabeki, viungo wakabaji na washambuliaji na icho ndicho kitaamia kwenye ligi ya mabingwa kama wameweza kuwa na timu bora kwenye ligi watashindwa nini kwenye ligi ya mabingwa
Kuna timu nyingine umeisahau toka Tunis nayo ilimbugiza MAKOLOKOLO FC 5 "HAMSA" msimu huo huo.Ila zile beki, zilizoruhusu goli 11 ndio unaziamini..? Ok
Vita 5- simba 0
Ahly ahly 5- simba 0
Kweli simba ndiyo team yenye beki imara, yanga wadhaifu.
Kwahiyo Simba imeingiaje Hapa.Ila zile beki, zilizoruhusu goli 11 ndio unaziamini..? Ok
Vita 5- simba 0
Ahly ahly 5- simba 0
Kweli simba ndiyo team yenye beki imara, yanga wadhaifu.
Na aliyesema za kuambiwa changanya na zako hatimaye MAKOLOKOLO mkampuuza ndiye ameonekana Shujaa baada ya kushushiwa kipondo na msiyempenda MAYELE na kubaki mnajiliwaza na "MLETE MZUNGUUUUU" [emoji38]Kwahiyo Simba imeingiaje Hapa.
Pili wakati Simba anafungwa HIZO goli, Yanga mlikuwa wapi? Na tangia wakati him kmefanya in Kimataifa?
Aliyesema Wenye akili Yanga Ni wawili tu, hakukosea.
Hilo huwa ni tahahira halijielewi,unajua maana ya Kimataifa au unakurupuka tu.
Akili yangu Ni KUBWA siwezi kubishana na akili ndogo km wewe. Huu ni mpira inahitaji watu wanaoongea mpira.Na aliyesema za kuambiwa changanya na zako hatimaye MAKOLOKOLO mkampuuza ndiye ameonekana Shujaa baada ya kushushiwa kipondo na msiyempenda MAYELE na kubaki mnajiliwaza na "MLETE MZUNGUUUUU" [emoji38]
Umewasahau Mazembe waliwapiga nne ilikuwa mwaka huo piaIla zile beki, zilizoruhusu goli 11 ndio unaziamini..? Ok
Vita 5- simba 0
Ahly ahly 5- simba 0
Kweli simba ndiyo team yenye beki imara, yanga wadhaifu.
Jamaa kasema msimu uliopita walimaliza unbeaten, yaan walichukua ubingwa bila kufungwa. Msamehe tu maana hajaelewa mada, ye kazungumzia NBCPL wakati mada ni CAFCL ambako hatua ya awali alipigwa nje ndaniunajua maana ya Kimataifa au unakurupuka tu.
Ukiwashangaa simba kupigwa hamsa mechi mbili utagutuka usingizi na kugundua kuwa ni simba hao hao ndio walifuzu kwenda robo fainali na vipigo hivyo hivyoUmewasahau Mazembe waliwapiga nne ilikuwa mwaka huo pia
Jidanganye pale city aumie kdb pale Liverpool aumie alcantara na salah nd utaikataa kauLii yakoKwamba ukiwa na baki nzuri ndio ufungwi mpira wa kisasa ni system ya kucheza kwa timu nzima sio kumtegemea mtu.
UshabikiIla zile beki, zilizoruhusu goli 11 ndio unaziamini..? Ok
Vita 5- simba 0
Ahly ahly 5- simba 0
Kweli simba ndiyo team yenye beki imara, yanga wadhaifu.
Umeongea LA maana performance ya ligi kuu ipo vzuri tatzo je consinsitency iyo iyo nd watakua nayo CafcLKwahiyo ubora wa kuwafunga Ihefu na Akina Polisi ndogo ubora unaowapa kiburi cha kwenda kuwafunga Al Ahly, Mamelodi na Widad kwa mfano. Watu huwa mnaotaga MCHANA asee.
Mtoa post kawaza mbali Kimataifa WEWE unawaza performance ya ligi kuu Tz.
Yanga Kimataifa itacheza mechi 4 tu na kuaga. Tusubiri!
Unaota ww, kwa yanga ipi ya kutoboa kimataifa!!!!???? Mwamnyeto, job!!!?Subiri waanze kucheza izo mechi ndo utajua Kama watatuvusha ama laah! Mpira wa kisasa aumtegemei mtu mmoja au 2, timu inacheza kitimu kuanzia kukaba mpaka kushambulia, ivyo yanga kumaliza unbeaten kwenye mechi zote msimu huu sio kwamba beki peke yake ndo zilikuwa vizuri hapana ni team work ya pamoja kuanzia mabeki, viungo wakabaji na washambuliaji na icho ndicho kitaamia kwenye ligi ya mabingwa kama wameweza kuwa na timu bora kwenye ligi watashindwa nini kwenye ligi ya mabingwa
Timu gani ambayo haifungwi cha msingi shinda mechi Real Madrid kachukua UCL sio kwamba alika haifungwi ila alikua anashida mechi hata Simba kipindi anapigwa zile 5 - 5 -4 alikua anashida mechi zingineUkiwashangaa simba kupigwa hamsa mechi mbili utagutuka usingizi na kugundua kuwa ni simba hao hao ndio walifuzu kwenda robo fainali na vipigo hivyo hivyo
Wakati unaendelea kuwashangaa simba kupigwa nne na mazembe utagutuka ukipata ukwel kuwa mamelod msimu uliopita aliishia robo fainali, alipigwa ngapi na nani tafuta data
Maoni yangu
Mleta mada ameongea fact inayoonekana waz kabisa kuwa yanga kwa sasa pale nyuma kuna uchochoro, ushabiki wa mahaba hauna maana ila ushabiki wa mpira unasaidia, yanga wajitazame upya
Kwa Zalan watapita ila mleta mada mtamkumbuka mkikutana na Al hilal
Hivi Scars na wewe unaiona Singida ni timu tishio?Kimataifa kote huko wakati kwa Singida tu bado kuna mashaka?
Beki gani hapo Simba hajafungwa?Unaota ww, kwa yanga ipi ya kutoboa kimataifa!!!!???? Mwamnyeto, job!!!?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Yeah, ni timu tishio tena sana iwapo hakuna mikakati ya kiijanja ujanja nje na ndani ya uwanjaHivi Scars na wewe unaiona Singida ni timu tishio?