jimmyjoseph
New Member
- Oct 10, 2014
- 4
- 0
Hakuna open space yoyote ambapo wapo like barabarani ambapo officially nikitaka kuwapata naweza kuwakutaGhimkana
Ngoja tuwasubiri watuambie maana nahitaji kujua machimbo yaoWasubiri wakishua wenzako, ila humu wengi choka mbaya tu na wanakaa sehemu za hovyo kama goba kwa kina GENTAMYCINE
Goba umeniheshimu sana na kunipandisha Chati Mkuu. Mimi pamoja na huu Umasikini wangu ninaishi Tandale Uzuri.Wasubiri wakishua wenzako, ila humu wengi choka mbaya tu na wanakaa sehemu za hovyo kama goba kwa kina GENTAMYCINE
Kitiuo cha daladala morrocoNi sehem gani kwa Dar es Salaam hii michezo kaama skateboard, scooter, roller skate au biking inafanyika na kama kuna vikundi, organization na sehem wanako patikana na sehemu ambazo huwa wanafanyia michezo hio?
Shukrani sana kaka .kuna sehem nyingine? Na je ni muda gani huwa wanafanya huo mchezo?Kitiuo cha daladala morroco