Kwa upande wangu skendo iliyonishangaza na kunichekesha ilitokea mwaka 2016.
Wema sepetu na İdris Sultan walipofeki ujauzito ili kuwanyamazisha timu zari na timu diamond 😂 unaambiwa walinunua hadi tumbo feki la ujauzito la silicone wema akawa analivaa anatembea nalo kila anapoenda 😂😂
Umbea wa miaka ile ulikuwa hot kuliko wa miaka hii. Unaambiwa miaka ile bora usahau daftari ukienda shule kuliko kusahau simu nyumbani 😂
Wema sepetu na İdris Sultan walipofeki ujauzito ili kuwanyamazisha timu zari na timu diamond 😂 unaambiwa walinunua hadi tumbo feki la ujauzito la silicone wema akawa analivaa anatembea nalo kila anapoenda 😂😂
Umbea wa miaka ile ulikuwa hot kuliko wa miaka hii. Unaambiwa miaka ile bora usahau daftari ukienda shule kuliko kusahau simu nyumbani 😂