Skendo gani kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa selebriti wa Tanzania ilikushangaza na kukuchekesha

Skendo gani kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa selebriti wa Tanzania ilikushangaza na kukuchekesha

Hizi Kama sio skendo basi ni habar ambazo zilinishangaza sana .
1. Dogo Janja na Irene Uwoya.
2. Sister Fey na kile Kibenten Chake
 
wale wa kivukoni nauli ilipanda kama shilingi mia watu wakalalamika mzee wa moja na mbili jiwe a.k.a magu ama bulldozer akawaambia kama hawawezi kulipa basi wapige mbizi!!..[emoji1787]
sasa sijui hii mtaiweka kama skendo ama udaku ila huyo ndo celebrity wangu!
Mbizi kama mbizi [emoji1787]
 
mariamu biriani kupika biriani na kupakuliwa biriani
 
Back
Top Bottom