Klein Calvin
Member
- Dec 18, 2017
- 6
- 0
Ndyo mkuu nnayo
Ndyo mkuu nnayo
ndio maana hakutamba muda mrefu
mkuu nitumie WhatsApp no 0675706938
Hiyo sura ni yywanasema co yeye
Nakupendea hapo tu..[emoji9]Kwani tatizo liko wapi ye kunyonywa uume. Mnafanya kama vile anayoyafanya mwenzenu nyie hamfanyi. Ajali kazini hiyo. Akizingua uwanjani sawa ila mtu kwenye starehe zake jamani.
HahahaahaaNakupendea hapo tu..[emoji9]
upo?comment zako !!!Kwani tatizo liko wapi ye kunyonywa uume. Mnafanya kama vile anayoyafanya mwenzenu nyie hamfanyi. Ajali kazini hiyo. Akizingua uwanjani sawa ila mtu kwenye starehe zake jamani.
Jamaa linafaidi mtoto mzuri
Ni mawazo yako tu. Wakati iniesta amempita mbali mauno. Kwa Messi usiguse ile level nyingine kabisa. Kwenye utatu utawakuta hawa! Kwaheri.
- Messi
- Diego
- Pele
Wakati Mauno hata top 10 hayumo. Sasa sijui unamsifia kwa kitu gani. Sikatai,, Ni mchezaji mzuri tu na ili aonekane bora zaidi ya hao watatu niliowataja..kwanza kabisa alinganishwe na hawa
Akipenya hapa ndipo alinganishwe na level ya pili ambao ni
- Iniesta
- Requelme
- De lima
- Dybala,
- Neimar
- Xavi
- ibrahimovich
- De maria.
Akipenya hapa ndipo alinganishwe sasa na babu zake, na ni ngumu haitawezekana kuwaruka wote.
- Johan Cruyff
- Alfredo
- Puskas
- Cr7
- Zidane
Ndo hapo sasa....watu wanaweza wakaongea wee utafikiri ni kitu kipya...Kama ni mtu wake haina tatizo..maisha yake hayo....Kwan nan alisema wacheza mpira hawafanyi hizo mambo...Huyo alievujisha ndo anamatatizo....Hii ni skendo kwa kuwa imeonekana live, lakini mbona majumbani tunayafanya sana tu.