Skendo: Video ya ngono ya kiungo wa Tottenham Hotspur na Uingereza, Dele Alli yavuja mtandaoni

Skendo: Video ya ngono ya kiungo wa Tottenham Hotspur na Uingereza, Dele Alli yavuja mtandaoni

Wachezaji wa England siku izi ni tatizo sana ndio maana timu yao ya taifa haifanyi vizuri ni majeuri sana na ukiangalia hawafiki kilele cha mafanikio kisoka mchezaji mwingne ambae naona sio muda anaweza kupotea ni Harry kane
 
hay ni maish binafs y mchezaj kwn wao n binadam wana haki y kufny hili tendo sem tatz aliyevujish video 2
 
Ila kuna wanawake wanajua kunyonya mbor hadi unahisi unapaa yaan mmmmngh!!!!
 
Hii ni skendo kwa kuwa imeonekana live, lakini mbona majumbani tunayafanya sana tu.
 
Unamjua Gaucho wewe fundi wa mpira ambaye hajawahi kutokea. Kuna video yake ilivuja akipiga punyeto na wala haikuathiri kiwango chake uwanjani mpaka leo tunamuabudu.

Wewe na nani mnamuabudu? Gaucho tokea lini anaabudiwa! Alafu eti fundi wa mpira hajawahi kutokea 😀😀😀 wabongo bwana mpaka raha aise. Aya kiongozi jifurahishe tu sio mbaya! Kwaheri baba
 
Wewe na nani mnamuabudu? Gaucho tokea lini anaabudiwa! Alafu eti fundi wa mpira hajawahi kutokea 😀😀😀 wabongo bwana mpaka raha aise. Aya kiongozi jifurahishe tu sio mbaya! Kwaheri baba
Kwa kuuchezea mpira hamna zaid yake Wengine ni ufungaji.. ila show game Gaucho is the End
 
Ndo ttz af ukizingatia Bado mdogo
Sasa yy anaona sifa hawez kuona
Kina evra,balotel,adebayo walivopotea
Kwa sababu ya kuendeleza ujinga tu wa kujitakia
Evra alipotea sababu ya nini
 
Evra alipotea sababu ya nini
Juz tu hapa last year kwenye
Mchezo wa Europe league
Alimpiga shabiki teke
Na adabu yake ikawa n


UEFA kumfungia mech zote
Zlizobak za Europe league
Haikutosha club yake Marseille
Wakavunja mkataba wake
 
Kwa kuuchezea mpira hamna zaid yake Wengine ni ufungaji.. ila show game Gaucho is the End

Ni mawazo yako tu. Wakati iniesta amempita mbali mauno. Kwa Messi usiguse ile level nyingine kabisa. Kwenye utatu utawakuta hawa! Kwaheri.
  1. Messi
  2. Diego
  3. Pele

Wakati Mauno hata top 10 hayumo. Sasa sijui unamsifia kwa kitu gani. Sikatai,, Ni mchezaji mzuri tu na ili aonekane bora zaidi ya hao watatu niliowataja..kwanza kabisa alinganishwe na hawa

  1. Iniesta
  2. Requelme
  3. De lima
  4. Dybala,
  5. Neimar
  6. Xavi
  7. ibrahimovich
  8. De maria.
Akipenya hapa ndipo alinganishwe na level ya pili ambao ni
  1. Johan Cruyff
  2. Alfredo
  3. Puskas
  4. Cr7
  5. Zidane
Akipenya hapa ndipo alinganishwe sasa na babu zake, na ni ngumu haitawezekana kuwaruka wote.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kama hajaoa na mwanamke hajaolewa na hakuna usaliti uliofanywa sioni tatizo.

Mbaya kama angekua anamegwa yeye.
 
Ni mawazo yako tu. Wakati iniesta amempita mbali mauno. Kwa Messi usiguse ile level nyingine kabisa. Kwenye utatu utawakuta hawa! Kwaheri.
  1. Messi
  2. Diego
  3. Pele

Wakati Mauno hata top 10 hayumo. Sasa sijui unamsifia kwa kitu gani. Sikatai,, Ni mchezaji mzuri tu na ili aonekane bora zaidi ya hao watatu niliowataja..kwanza kabisa alinganishwe na hawa

  1. Iniesta
  2. Requelme
  3. De lima
  4. Dybala,
  5. Neimar
  6. Xavi
  7. ibrahimovich
  8. De maria.
Akipenya hapa ndipo alinganishwe na level ya pili ambao ni
  1. Johan Cruyff
  2. Alfredo
  3. Puskas
  4. Cr7
  5. Zidane
Akipenya hapa ndipo alinganishwe sasa na babu zake, na ni ngumu haitawezekana kuwaruka wote.
Acha ujuaji wewe,hizo taarifa umezitoa wapi?.
 
Kibur na jeur yake itampoteza
kwenye mpira kama balotel
Kwani baloteli amepotea ....tatizo watz wengi hamfuatilii ligi zingine tofauti na hiyo ya uingereza....kwa taarifa yako baloteli yupo timu inaitwa nice IPO France anatupia kama kawaida yake... Na hiyo timu IPO top 5
 
Khatari, post no.5 picha naona pia ktk sakafu kuna kitu kimetupwa yaani huyu bibie kweli inabidi uwe unaweza ''marathon'' hatosheki.
 
Wachezaji wa England siku izi ni tatizo sana ndio maana timu yao ya taifa haifanyi vizuri ni majeuri sana na ukiangalia hawafiki kilele cha mafanikio kisoka mchezaji mwingne ambae naona sio muda anaweza kupotea ni Harry kane
Kwani walipata mafanikio lini
Isipokuwa 1966 tuu
 
Back
Top Bottom