Km kn siku utacomment, afu nisifurahi, ntakukataaSema haki ya mungu
IG anatumia jina gani??
Km kn siku utacomment, afu nisifurahi, ntakukataa
Sema haki ya mungu
IG anatumia jina gani??
Dogo kiukweli anajua na juhudi na kujituma Vizuri sana. Tatizo ni huyu sk sijui salam Ngoja kwanza ntawaekea ig yake muone utumbo Wake anaandika kuhusu show ya jana Ya tigo kiboko yao.
Huyu mwarabu fake sijui njaa upambe m'baya jamani. .hivi kweli manager ana behave hivi..huyu ndo Anatakiwa kumwongoza artist lakini yeye ndo Mburula.