Sketi za mpira, na vigauni vifupi vya mpira

Sketi za mpira, na vigauni vifupi vya mpira

Hivi Wanawake wa Kiafrika Nywele zao zimeenda wapi?

Tunawafundisha nini watoto wetu,?
Kwamba Waafrika wamepungukiwa na sura na hawana Nywele nzuri mpaka waweke uchafu kichwani ili zionekane kama za wahindi au wazungu?

Waafrika ni viumbe wa ajabu sana.
Wamejaliwa kila kitu kizuri lakini hawajui kila kitu kizuri zaidi ya kuiga.

Wanaume nao wamekua punguani kwa kuiga mapenzi na tamaa za kizungu na kiarabu na sasa wanatamani makalio na njia ya kinyesi.
Pu mbavu za mbwa kabisa!!!**##***
And concept ni ipi [emoji2375]
 
Hizo sketi kwakwel atakae kataa kuwa azimsumbui atakua na matatizo kiafya sema wengi wanajifanya kukaza ila zinasumbua sana hata mi nko upande waku mkuu sio peke yako
 
Waliosoma MARKETING wanajua umuhimu wa PACKAGING!
 
Hizo sketi kwakwel atakae kataa kuwa azimsumbui atakua na matatizo kiafya sema wengi wanajifanya kukaza ila zinasumbua sana hata mi nko upande waku mkuu sio peke yako
Dah aisee ni balaa ila ndo tutafanyaje tena
 
Sketi ya pili na ya tatu ninazo kama hivyo hivyo yani 😁

Japo sijawahi kuzivaa
jo mpenda sketi ndefu il amesahau sketi ni ya mpira so mateso lazima utuachie tu.

naimani ndani ya hizo sket unavaaga tait ya jeans..ila kama ni chupi tu Kaa ukijua "mbinguni huendi"
 
jo mpenda sketi ndefu il amesahau sketi ni ya mpira so mateso lazima utuachie tu.

naimani ndani ya hizo sket unavaaga tait ya jeans..ila kama ni chupi tu Kaa ukijua "mbinguni huendi"

Sijawahi kuona tait ya jeans aseee
Halafu sivaagi sketi mimi
 
Yaah!sivaagi sketi kabisaaaaaaa
magauni enyewe ndio hayo ya mpira (eeh baba)...

Hapa nina imagination zangu za muonekano wako,(sijui ntakua sawa)

Hili sanamu langu limekosa sura yako halisi tu..
 
magauni enyewe ndio hayo ya mpira (eeh baba)...

Hapa nina imagination zangu za muonekano wako,(sijui ntakua sawa)

Hili sanamu langu limekosa sura yako halisi tu..
Hata gauni sivaagi kabisaaaaaaaaaa
 
magauni enyewe ndio hayo ya mpira (eeh baba)...

Hapa nina imagination zangu za muonekano wako,(sijui ntakua sawa)

Hili sanamu langu limekosa sura yako halisi tu..
Angalia usiipigie puchu hiyo imagination tu
 
Back
Top Bottom