Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
Ishawahi kutokea Pale nilipokutana njiani na mwalimu aliyekufundisha MATHS secondary afu akaniambia nimuelekeze njia ya kwenda sehemu fulani.
*Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE.*
????????
Mwalimu alisonya na kuondoka.
Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa
*Nenda mbele kama 2KM hivi kisha kata kushoto,ila hakikisha ANGLE inakuwa ni 30.5 KUSINI MASHARIKI.Kisha tumia PYTHAGORAS na hakikisha una FOUR FIGURE ili kupata thamani ya ANGLE.*
????????
Mwalimu alisonya na kuondoka.
Stakagi ujinga kabisa mimi, wakati ananichapa alifikiri sifa