Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 88
Wapendwa wana JF, nasikia ati kuna vidonge unakunywa na rangi ya ngozi yako inapata mng'ao wa kupendeza. Je kama ni kweli vipo hivi vidonge, naomba jina lake na kwa hapo Dar labda pharmacy ipi naweza kuvipata, au labda dukani wapi?
Please, am serious, no jokes
Please, am serious, no jokes