Tuanze na mbwembwe za Miqsone kwanza zimeishia wapiSkudu Makudubela, huyu jamaa alitangazwa kwa mbwembe kuliko wachezaji wote wapya waliosajiliwa Yanga msimu huu, bado ni majeruhi au hapati nafasi kazidiwa ubora?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MchezaAmapiano sio MchezaMpira
Luis hakuwa branded kama Skudu.Tuanze na mbwembwe za Miqsone kwanza zimeishia wapi
Kichwa cha mwanaume mwenzako unakitaka cha nini?Yule hamna kitu na ukichanganya na kocha wake bichwa km papai
Tafuta kazi upone depressionSkudu Makudubela, huyu jamaa alitangazwa kwa mbwembe kuliko wachezaji wote wapya waliosajiliwa Yanga msimu huu, bado ni majeruhi au hapati nafasi kazidiwa ubora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasumbuliwa na KHAMSAPHOBIAKichwa cha mwanaume mwenzako unakitaka cha nini?
Naomba nikazie hapa!Tuanze na mbwembwe za Miqsone kwanza zimeishia wapi
Na hili ndilo tatizo lenu kubwa mashabiki wa simba!! Kila kitu mnachoambiwa au kusikia, huwa mnakiamini na kukichukulia kama kilivyo.Walisema amekuja kutangaza jezi namba 6...
Unamsema skudu unasahau mbwembwe za Onana na miquisoni🤔🤔Skudu Makudubela, huyu jamaa alitangazwa kwa mbwembe kuliko wachezaji wote wapya waliosajiliwa Yanga msimu huu, bado ni majeruhi au hapati nafasi kazidiwa ubora?
Sent using Jamii Forums mobile app