Skudu imekuwaje tena

Na hili ndilo tatizo lenu kubwa mashabiki wa simba!! Kila kitu mnachoambiwa au kusikia, huwa mnakiamini na kukichukulia kama kilivyo.

I think Ismail Aden Rage is a genius.
Shida ni kwamba huwa hamtumii akili zenu kuchambua mambo na kujua huyu anaongea akimaanisha?
I think Manara was right....
 
Apelekwe bendi ya Misso Misondo akacheze na wale wazee wa makoti....umepigaje hapo
 
Mchezaji kasajiliwa na waganga pale yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…