Shida ni kwamba huwa hamtumii akili zenu kuchambua mambo na kujua huyu anaongea akimaanisha?Na hili ndilo tatizo lenu kubwa mashabiki wa simba!! Kila kitu mnachoambiwa au kusikia, huwa mnakiamini na kukichukulia kama kilivyo.
I think Ismail Aden Rage is a genius.
Sasa mbona unafoka?Shida ni kwamba huwa hamtumii akili zenu kuchambua mambo na kujua huyu anaongea akimaanisha?
I think Manara was right....
Du! TANO nyingi aisee [emoji3][emoji23]Yule hamna kitu na ukichanganya na kocha wake bichwa km papai
Nakufokea tuu hakuna namna...Sasa mbona unafoka?
wewe mwenyewe ni useless nyuzi zako pumba tupuApelekwe bendi ya Misso Misondo akacheze na wale wazee wa makoti....umepigaje hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MchezaAmapiano sio MchezaMpira
Kama za Laban ogwewe mwenyewe ni useless nyuzi zako pumba tupu