Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
anhaa sawa sawaJoseverest usihangaike na huyu mtoa mafua !mie ndo kiboko yake kwa kila week lazima ale ban hiv ametoka juz tu kwenye ban ! we akikutusi fanya kureport [HASHTAG]#mods[/HASHTAG] uzuri wao wanamjua !hawnaa shida kbs kumpa ban kila baada ya siku 5!
AsantePole na karibu
Hakuna msaada mkubwa kama msaada wa mawazo, ninakumbuka Ontario alisema information ni muhimu katika maendeleo na katika kupata mawazo usidharau ushauri wa mtu kutokana na hali yake.Vipi unapokea Na kuomba msaada unapokumbana Na changamoto za maisha!?
Msaada upi mkubwa umewahi omba!?
muosha rungu
Hahaaaaa[emoji119] [emoji119]Huko pm panachuruzika damu..[emoji3][emoji3]
Poa yakianza uniite ngoja nihame jukwaa kidogo, nitarudi ComradeBado
muosha rungu
Sawa!Hakuna msaada mkubwa kama msaada wa mawazo, ninakumbuka Ontario alisema information ni muhimu katika maendeleo na katika kupata mawazo usidharau ushauri wa mtu kutokana na hali yake.
Alafu ukiwambia wanakuwa wakali. mijitu mingine sijui ikojeMember wengine mnaharibu interview. Mastory yenu pelekeni huko bhana.
Kusema ukweli bado ninapambana na sijafikia mahali nikaona nimetumia vizuri vipaji alivyonipa Mungu, ingawa ninapata shukrani nyingi.Sawa!
Shughuli zipi Na vitu gani ukifanya unaona umetumia karama ulizojaliwa Na Mungu ipasavyo!?
Kwako wewe je kuna tofauti yeyote kati ya mtu kuwepo tu dunian Na kuishi?
muosha rungu
Kukaa kimya pia ni jibu.hivi kwann usimreport huyu kichaa wa dunia mkuu?bonyeza button ya report hana nusu dk anakula ban ndezi huyu
Afu anajua kabisa, sema anataka kudhalilisha watu tu.Kuna kitu anakitafuta muache tu
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Unaacha vipengele vya swali!Kusema ukweli bado ninapambana na sijafikia mahali nikaona nimetumia vizuri vipaji alivyonipa Mungu, ingawa ninapata shukrani nyingi.
Mungu alitupa zawadi kubwa sana ya maisha bure hivyo kwanza kama binadamu tulinde afya zetu hii ni zawadi ya kwanza kuolewa na Mungu pili tubadilishe dunia iwe mahali pazuri kuishi kama vile kutolipa visasi.
Si kwa huyo jamaa.Kukaa kimya pia ni jibu.
Unaacha vipengele vya swali!
Uliwahi Fanya nini ambacho hujivunii yaani kitu ambacho ulikifanya ila unakichukia kwa sasa!
muosha rungu
Hakuna neno hunter.anhaa halafu uwe unanitag mapemaaa
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Mikojo!!error!Ninafananishwa ningesettle down mapema lakini huwezi kurudiaha muda nyuma ninachoshukuru ni kuwa nimekuwa na busara zaidi kuhimili mikojo ya mahusiano
Nimekununia[emoji57]Hakuna neno hunter.
Ukimpotezea ataacha upumbavu wake maana atajua hamuna anaejali wala kujishuhulisha na uchizi wake.Si kwa huyo jamaa.
Biashara iwe na lengo la kutoa huduma kwa jamiiMikojo!!error!
Kama unataka kuanzisha kampuni kesho ni mambo yepi makuu matatu utayapa kipaumbele!
muosha rungu