Brothers kivipi?? Wakati umesema ww ni KEHeshima kwako mkuu.
Usichukulie serious.
We are brothers..! Leo hadi milele.
Kwa kweli ni ngumu kusema wengi ni marafiki wa karibu mno sijaqawaza kama wapenzi[emoji122] [emoji122] [emoji122] jf!
Kama usingeonana Na asprin ni member yupi ungekuwa radhi kuolewa naye au hata kudate!
muosha rungu
Hakuna mjomb asante kwa msamahaNani kama shangazi!![emoji4][emoji4][emoji4].......Shangazi nimekusamehe!![emoji28][emoji28][emoji28]
Heshima kwako mkuu.
Usichukulie serious.
We are brothers..! Leo hadi milele.
Siasa kwako ina umuhimu wowote!?Kwa kweli ni ngumu kusema wengi ni marafiki wa karibu mno sijaqawaza kama wapenzi
Unamkosea heshima shunie ....huyu nilimwachia binamu obe
Pale unapotaka usipitweee na replay....Hakuna mjomb asante kwa msamaha
Mimi nawafatilia kwa makiniii
Ningepambana na maadui wa watano kwanza wa binadamu, elimu, afya, njaa, makazi na mavaziSiasa kwako ina umuhimu wowote!?
Laiti ungechaguliwa kuwa rais Wa nchi yetu ya Tanzania kwa masaa 2 ungefanya uamuzi gani Wa manufaa?
muosha rungu
Linamo huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ni family nimempata mume JF na marafiki wengi tu ambao tunaendelea kuwasiliana nje ya JF
Ndani ya masaa 3!!okay!Ningepambana na maadui wa watano kwanza wa binadamu, elimu, afya, njaa, makazi na mavazi
Kila kijiji listen mwalimu mkuu ambae ana degree anaweza kuleta mabadiliko ya elimu
Kitu o cha afya cha kijiji kifanye kazi masaa 24
Ma wana shamba field wakae miezi 3 na wananchi
Kila mtu atakatwa 10% ya Mauro ya mazao tujenge nyumba bora kwa kila mwanakiji
Pole mdogo wangu.
Ila usipende kuingilia mambo ya watu
Yameisha.!
Kila zama zina mapungufu na unafuu wake kwakweli kati ya hizi mbili no comment kheri enzi za mwalimu labda kwakuwa nilikuwa mdogoNdani ya masaa 3!!okay!
Unachagua kuishi awamu IPI
Kikwete au Magufuli,kwanini
muosha rungu
Ngoja ajeLinamo huyo
Mimi nawafatilia kwa makiniii
Umeogopa madongo!Kila zama zina mapungufu na unafuu wake kwakweli kati ya hizi mbili no comment kheri enzi za mwalimu labda kwakuwa nilikuwa mdogo