Thanks, you may now take audience questions!Ninapenda sana kusoma na kujua za ubongo wangu na information kila siku, ninasoma mahari said ya field yangu ambayo ninayapata kila baada ya wiki mbili, kusoma Bible, na kwenda sehemu takatifu kama Bethlehem, Fatima, Rome, na kwingineko.
Mimi si mwepesi kukasirika.
Njoo uulize yale maswali uliyonayoanhaa halafu uwe unanitag mapemaaa
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
sana mkuuThanks, you may now take audience questions!
muosha rungu
Tayari eee??Njoo uulize yale maswali uliyonayo
Sky Eclat una fani ya udocta au udaktari, au nursing??Asante
sana mkuu
TayariTayari eee??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Sky Eclat...Asante
sana mkuu
Wahitimu wengi hawana ajira na hawapendi kujishughulisha, mtu anamaliza anawaza ofisi ya kiyoyozi, unahisi shida ni nini? Mfumo wetu wa elimu? Nini kifanyike?Asante
sana mkuu
Toka lini Asprin kawa mumeo?Aiseeee1. Ninalipa nauli ya wa kubwa nikisafiri
2. Sina taaluma Mimi ni mbangaizaji tu mjini.
3. Mimi ni mke wa Aspirin
4. Watoto ninao wengi kidogo
basi sawa nimeanza tayari na mimi kumuulizaTayari
Hii ni nini sasa???[emoji13] [emoji13] [emoji13]Sky Eclat una fani ya udocta au udaktari, au nursing??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Ninahudumia watu lakini si fani ya udaktariSky Eclat una fani ya udocta au udaktari, au nursing??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Shikamoo kaka.Upendapo kujua hali yangu mie ni mzima wa afya tele....Sky Eclat...
Wewe ni mchangiaji mzuri wa JF Doctors..
Who is this related to your life?
Mummy tutakualika dinner nyumbani
kule kwenye jukwaa la JF Doctor huwa nakuona unasaidia watu..inamaanisha una uelewa kidogo wa mambo haya sio??Ninahudumia watu lakini si fani ya udaktari
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Mummy tutakualika dinner nyumbani
Hi coco!
muosha rungu
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]kule kwenye jukwaa la JF Doctor huwa nakuona unasaidia watu..inamaanisha una uelewa kidogo wa mambo haya sio??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
[emoji3][emoji3]Shikamoo kaka.Upendapo kujua hali yangu mie ni mzima wa afya tele....
Sent using Jamii Forums mobile app