Nafikiri hao wanajua kuhudumia na sio kupeti petiHahahaaaaa!! Hapana bwana, ndio wanajua kupeti peti.
Wewe hiyo ban au umejiwekeaMasharo walamba lips. Kazi unayo rafiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaan mie huwa namsoma malalamiko yake nacheka mpaka nashindwa kucomment chochote, sasahivi naona ameingia kwa style ya ulalamishi na maswali ya going concern hayana mwisho
Nilimfata espy pm ndo kaenda nishitaki [emoji81] [emoji81] [emoji81].[emoji23][emoji23][emoji23] unabalaah wewe ujue, sasa ni nini tena mbona kufuli la solex jamani, ukirudi uniambie ulifanyaje
sawa Baby girlOoh kumbe ni hivyo basi sawa hamna neno
Nakuitia stable woman kaka akeesio kweli
Sent from my iDevice using Tapatalk
Baby mbona unamuandama sister angu shida ni nini?miaka 40+ na umezaa juu unajiita mbichi?? are you serious??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Unitue!!miaka 40+ na umezaa juu unajiita mbichi?? are you serious??
Sent from my iDevice using Tapatalk
Hivi vituko kwa kweliNdio alitambue hilo, Joseverest ukome kunichulia uzee mtoto wa watu.
Ban ila muda hujafikaWewe hiyo ban au umejiwekea
Ni kweli kabisa Mkuu. Mimi pia nitafuatilia hiyo interview.HUYU BIBIE NTAFWATILIA INTERVIEW YAKE.
emmyta PIA NTAMFWATILIA HAWA MEMBER NI WASTAARABU SANA.
HUWEZ WAFANANISHA NA cocochanel
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha auntie huyo maswali hayaishi kabisa yaan anafanana na avatar yake ujue
wasiokujua labda ndio wataingia KINGIKote kote bwana, mtoto mbichiiiiiiii
Nini tena shunie [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] mbona tunatishana dogoAntoni [emoji15] [emoji15] [emoji15] veep tena woiii jaman byeee [emoji137] [emoji137] [emoji137]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amuulize stable woman anafatwa kwenye uzi mwingine twende kule kwakl ukanijibu maswali yako alikoma dada wa watu
Mimi nina maswali yasoisha?Hapana kaka josse jaman
Nini tena shunie [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] mbona tunatishana dogoAntoni [emoji15] [emoji15] [emoji15] veep tena woiii jaman byeee [emoji137] [emoji137] [emoji137]
Hii ni hatariAcha auntie huyo maswali hayaishi kabisa yaan anafanana na avatar yake ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wazee watam bwana wee hata ukikutana nae hakatz kushika simu yako uchat kidg !khaaa hv vitoto sasa vinakupokonya hd simu fyuuuuu eti tu uko nae! kazi kulamba lips tu na kupiga selfie !
Interview ikiisha yeye ndio huwa anajitokeza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sema huwa sifuatilii sana, humu ndio nimemuona na msururu wa maswali yake kama ahadi za ccm.