Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kila zama zina mapungufu na unafuu wake kwakweli kati ya hizi mbili no comment kheri enzi za mwalimu labda kwakuwa nilikuwa mdogo
Mzee wetu hakuwahi kutuangusha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila zama zina mapungufu na unafuu wake kwakweli kati ya hizi mbili no comment kheri enzi za mwalimu labda kwakuwa nilikuwa mdogo
Ebhuu fotoaa vizur kucha zangu zionekanee...Nakuona... nakuona... ngoja niweke kumbukumbu
![]()
Mkuu.Umeogopa madongo!
Kulingana Na ratiba Na shughuli zako kwa sasa,unajiona wapi miaka 5 ijayo?
muosha rungu
Umeogopa madongo!
Kulingana Na ratiba Na shughuli zako kwa sasa,unajiona wapi miaka 5 ijayo?
muosha rungu
Kama mambo yatakwenda vizuri kama milivyopanga baada ya miaka mitano nitakuwa kwenye makazi yangu ya ndoto na biashara zitakuwa zinanipa pesa ya kula bila kuumiza kichwa kazi yangu itakuwa kufanya mazoezi na ibada na kula vizuriUmeogopa madongo!
Kulingana Na ratiba Na shughuli zako kwa sasa,unajiona wapi miaka 5 ijayo?
muosha rungu
tayari, na mguu nshaufotoa pia.Ebhuu fotoaa vizur kucha zangu zionekanee...![]()
AhsanteNingepambana na maadui wa watano kwanza wa binadamu, elimu, afya, njaa, makazi na mavazi
Kila kijiji listen mwalimu mkuu ambae ana degree anaweza kuleta mabadiliko ya elimu
Kitu o cha afya cha kijiji kifanye kazi masaa 24
Ma wana shamba field wakae miezi 3 na wananchi
Kila mtu atakatwa 10% ya mauzo ya mazao tujenge nyumba bora kwa kila mwanakiji
Inshallah mjengo wetu utakuwa ushaishaKama mambo yatakwenda vizuri kama milivyopanga baada ya miaka Milano nitakuwa kwenye makazi yangu ya ndoto na biashara zitakuwa zinanipa pesa ya kula bila kumi za kichwa kazi yangu itakuwa kufanya mazoezi na ibada na kula vizuri
Ila jf hawez achaaa...Atakuwa havumi lakini yumo
View attachment 587608
Mwisho kabisa hobbies zako Sky Eclat ni zipi!Kama mambo yatakwenda vizuri kama milivyopanga baada ya miaka Milano nitakuwa kwenye makazi yangu ya ndoto na biashara zitakuwa zinanipa pesa ya kula bila kumi za kichwa kazi yangu itakuwa kufanya mazoezi na ibada na kula vizuri
Usoniii nimetokelezeaaa....tayari, na mguu nshaufotoa pia.
![]()
Hizi pigo ndizo zinafanya watu waamini wewe ni KE??Atakuwa havumi lakini yumo
View attachment 587608
Aaahhh sasa nimeelewa ..kumbe nisiasa !!!!.Nashukuru
Siasa hiyo
Anawashwa washwa
Ngoja nikuache kidogo na wajukuu nimepata abiriaaAsili ni asili tu
View attachment 587612
Numbisa kila nikikuona napata hamu ya kukusalimia jamani![emoji1][emoji1][emoji1]
Mwisho kabisa hobbies zako Sky Eclat ni zipi!
unapenda kutembelea nchi gani?
Unakasirishwa haraka Na nini?
muosha rungu
[emoji3][emoji3]
Team Ubuyu...
Team Ubuyu B