macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
VicentKatiba ya Tanzania, wabunge wanatumwa na chama, Dr. Slaa hawezi kumchukua mbunge wa CCM bila ya ridhaa ya CCM kwani chama chake kikimfukuza uanachama na ubunge anakuwa amepoteza
Kinachowaunganisha CCM sasa hivi ni ugawanaji wa ulaji tu. Ikitokea hiyo scenario ya Dr. Slaa kushinda na asipate wabunge wengi hilo halitaleta shida kama wengi wanavyofikiria kwani yule kingi wao atakuwa 'keshauawa' na wengine watasambaratikia mbali. Naomba tusisahau nguvu za kikatiba alizopewa rais wetu!