Elections 2010 Slaa apata mapokezi makubwa Chato

Elections 2010 Slaa apata mapokezi makubwa Chato

Katiba ya Tanzania, wabunge wanatumwa na chama, Dr. Slaa hawezi kumchukua mbunge wa CCM bila ya ridhaa ya CCM kwani chama chake kikimfukuza uanachama na ubunge anakuwa amepoteza
Vicent
Kinachowaunganisha CCM sasa hivi ni ugawanaji wa ulaji tu. Ikitokea hiyo scenario ya Dr. Slaa kushinda na asipate wabunge wengi hilo halitaleta shida kama wengi wanavyofikiria kwani yule kingi wao atakuwa 'keshauawa' na wengine watasambaratikia mbali. Naomba tusisahau nguvu za kikatiba alizopewa rais wetu!
 
Dictator,

Umati huu unaleta matumaini ya kweli. Sala yangu kwa Mwenyezi Mungu ni kwamba CCM wakubali hali halisi. La sivyo, nchi yetu itaelekea pabaya.

Hivi washauri wa J.K. wanamwonesha picha hizi? Wanamthibitishia kwamba Chadema hawana mabasi na malori ya kuleta watu mikutanoni?

Ni dhahiri kwamba Watanzania wameichoka ccm, na wanataka mabadiliko. Mabadiliko ya kweli yatakuja tu pale kura zao za tarehe 31 Oktoba 2010 zitapigwa kwa uhuru na zitahesabiwa kwa haki.

Mungu Ibariki Tanzania. Amina.
Naenda kwenye sanduku la kura nikiwa na akili moja kichwani. KUMTOKOMEZA MKOLONI mweusi aliyezikalia fikra, elimu na hatima zetu for more than 15 yrs. Nyerere hausiki na haya madudu yao
 
Vicent
Kinachowaunganisha CCM sasa hivi ni ugawanaji wa ulaji tu. Ikitokea hiyo scenario ya Dr. Slaa kushinda na asipate wabunge wengi hilo halitaleta shida kama wengi wanavyofikiria kwani yule kingi wao atakuwa 'keshauawa' na wengine watasambaratikia mbali. Naomba tusisahau nguvu za kikatiba alizopewa rais wetu!

Dr Slaa akishinda ataapa kwa katiba ipi? Wewe unaona rahisi lakini si kihivyo labda baadhi ya wabunge wa CCM wajiuzulu na kugombea upya kupitia chama tawala kama kitakuwa CHADEMA
 
31 Oct. Vote off sisi em vote off JMK, for national sake. Sisiem guys vote off your chairman to save Tanzania.
 
31 Oct. Vote off sisi em vote off JMK, for national sake. Sisiem guys vote off your chairman to save Tanzania.

YeshuaHaMelech
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-online.png
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateTue Oct 2010LocationSoon to be with The Father in heavenPosts1Thanks1Rep Power1
 
kwa kweli mikutano ya JK na ya Slaa yote inatisha kwa idadi ya watu, tofauti tu ni kwamba njia inayotumika kuleta wanachi kwenye mikutano ya kampeni.
kwa hiyo, ili kujua watu wana nia ya dhati na chama, Vyama vitangaze kwamba kutakuwa na mkutano sehemu fulan kisha wafanye tathimin kwa watu watakao hudhuria, hapo tutajua ni chama kipi kina wafuasi wengi na hiyo itakuwa njia nyingine ya kufanya tathimin je nakubalika? au sikubaliki.
 
The clock is ticking and the days of JK in office are at hand, and the things to come hasten upon him
 
Hapa hakuna aliyepata T-shirt, baseball hat, khanga, skafu au pesa ya bure; wala hakuna aliyeletwa kwa roli la mizigo.
 
Katiba ya Tanzania, wabunge wanatumwa na chama, Dr. Slaa hawezi kumchukua mbunge wa CCM bila ya ridhaa ya CCM kwani chama chake kikimfukuza uanachama na ubunge anakuwa amepoteza

Wabunge watakaokuwa wamechaguliwa wakati Slaa ni rais hawatakuwa wajinga wa kung'ang'ania mshikamano na Chama (CCM) ambacho wanajua wananchi wamekichoka. Ni imani yangu kuwa sasa hivi wengi wako CCM si kwa sababu wana imani na chama hicho ila ni kwa sababu kwa sasa hawana uchaguzi. Kama Slaa akichaguliwa kuwa rais upo uwezekano mkubwa wa hao watakaochaguliwa kutoka CCM kukubaliana na uongozi wa Dr Slaa na hapo kuwa mwanzo wa kuandaa sanda ya CCM. Kama huamini subiri uone.
 
Mmoja wa makada wa CCM niliyezungumza naye amekiri Dr Slaa anashinda ila hawezi kuunda Serikali kwa kuwa hatakuwa na wabunge wa kutosha kupitisha mswaada wowote. Sijui wapenzi wa Chadema kuunda Serikali bila idadi kubwa ya wabunge hiyo serikali itafika miaka 5 kweli?

What a crap! Anajuaje kuwa Dr Slaa hatakuwa na wabunge wa kutosha? Halafu pia moja ya sera ya Chadema ni kubadili Katiba, je katiba haiwezi kuundwa kwa kuzingatia maslahi ya nchi kwamba Mawaziri watoke nje ya wabunge? Ninaamini Dr Slaa ana nia njema na nchi hii hivyo anaweza kuwa na mawazo ya serikari ya umoja wa kitaifa. Tunachotaka sasa siyo uadui kati ya miongoni mwa wa TZ bali umoja na mshikamano wa kitaifa. TZ ni nchi yetu sote na si ya watu wa chama fulani. Tunachotaka si kubaguana kama CCM inavyotaka ila kushirikiana kuijenga nchi yeti hata kama tuna itikadi tofauti cha kichama au hata kidini. TANZANIA kwanza Chama nafasi ya pili!
 
Unajua kuna watu wako CCM na ni wazuri tu,tunachotaka ni mabadiliko tu pale juu (mjengoni).Hata akiunda serikali na CCM bado serikali ya Slaa itakuwa better off kuliko kama akija JK na familia yake tena! Ieleweke kwamba Uraisi wa nchi hii si suala la familia kama alivyotaka Kikwete tuelewe. Na kama kuna kitu anakosea sana ni kuihusisha familia yake kwenye kampeni kama vile Urais ni mradi wa familia.

KINYAMANA nakuunga mkono ktk hoja yako, CCM kuna watu wazuri na wasafi hivyo tunapopigania mabadiliko maana yetu ni kukusanya watu safi na waadilifu kiuongozi ktk taifa hili bila kujali vyama vyao tuwape nchi waiongoze kuelekea kule tunakokusudia na si nchi kuongozwa na familia na family's friend wao
 
Katiba ya Tanzania, wabunge wanatumwa na chama, Dr. Slaa hawezi kumchukua mbunge wa CCM bila ya ridhaa ya CCM kwani chama chake kikimfukuza uanachama na ubunge anakuwa amepoteza

Mbunge wa CCM akifukuzwa kwa kuwa ameungana na serikali ya Dr Slaa kutetea maslahi ya taifa, atakuwa na nafasi ya kujiunga na Chadema na kugombea tena katika jimbo lake na bila shaka wananchi watamchagua tena. CCM wakimfukuza mbunge kwa sababu kama hii wakupoteza ni wao. Na kumbuka wakati huo Dr Slaa akiwa rais CCM wahawatakuwa na uwezo wa kutumia polisi kwenye kampeni na kushinda kwa mizengwe kama ilivyokuwa inaongoza serikali. Wakimfukuza mbunge wao nao watakuwa wamepoteza jimbo ambalo hawataweza kulikomboa. Utabiri wangu ni kuwa kama ikitokea CCM wakafanya kama unavyofikiri huo utakuwa ndio mwisho wa chama hicho. Wabunge wake wengi watahamia chama tawala. We subiri tu, utakuja kuona!
 
Chadema wameshafanya kitu kinaitwa 'what if'. Hivyo wamejiandaa kwa kila engo
 
Mmoja wa makada wa CCM niliyezungumza naye amekiri Dr Slaa anashinda ila hawezi kuunda Serikali kwa kuwa hatakuwa na wabunge wa kutosha kupitisha mswaada wowote. Sijui wapenzi wa Chadema kuunda Serikali bila idadi kubwa ya wabunge hiyo serikali itafika miaka 5 kweli?

Chadema watapata wabunge wa kutosha, na hata kama haitakuwa hivyo, serikali ya Dr Slaa (itakuwa ndogo kama alivyoahidi) itafika
 
Mmoja wa makada wa CCM niliyezungumza naye amekiri Dr Slaa anashinda ila hawezi kuunda Serikali kwa kuwa hatakuwa na wabunge wa kutosha kupitisha mswaada wowote. Sijui wapenzi wa Chadema kuunda Serikali bila idadi kubwa ya wabunge hiyo serikali itafika miaka 5 kweli?
kumbuka kuwa kuna watu wataisaliti CCM kama CHADEMA ikishika dola na interest za taifa ni juu zaidi ya chama! Hii CCM unaiona hivi kwa vile inashika dola ikiingia upinzani itafyata halafu hawataweza kuzua wabunge kama wanavyofanya sasa maana mbunge akisema anajivua uanachma maana yake uchaguzi mpya na sidhani kama watataka hilo! usiwe na wasi mkuu
 
Back
Top Bottom