Naombeni mnifafanulie hapo, nipo mbali na TV... anazungumzia ujenzi wa vyoo matundu ya choo kwa docta manyaunyau milioni 700
I can sense that. Kayagusia mabango ya Kikwete, kagusia safari za nje dahkesho tu mtasikia tunaenda mahakamani ...am waiting
Kwani nyie huwa mnakaa kwenye viti? si huwa mnakaa chini kama funza?Isingekuwa neema ya mawasiliano basi tungedanganywa sana.
Eti Slaa aiteka Zanzibar! Mbona watu ni wachache hivyo.
Nikiingalia hiyo picha naona waandishi wawili wa habari wakiwa wamekaa chini. Karibu kabisa na dkt.Slaa ambaye amezibiwa na doti za kanga zilizofungwa na kamba ya katani.
Dkt Slaa mwenyewe amesimama kwenye kitu kifupi kama si stuli basi ni jiwe.Hakupata waandalizi,vyenginevyo hawakuona haja hiyo kwa vile mpaka dakika za mwisho hakukuwa na dalili za kupatikana wasikilizaji.
Ufupi wa mambo ni kuwa dkt.Slaa kaisha kabisa.Nikisema hivyo ni katika kila hali hata ya kiafya.
Kutokana na fani yangu naweza kusema kuwa dkt.Slaa ana tatizo la hypertension.Kampeni ziishe akapumzike kabla hajaanguka kwenye majukwaa.
Unajua tatizo kubwa ni nyaraka toka CCM ndo ime-reveal hilo, hapo Makamba akiingia kichwa kichwa ataharibu hivihiviMi nasubiri majibu ya makamba kuhusu hili..watamjia juu leo we ngoja tu!
i thought conent was teh most important...:doh:We need more plus pics!!!
watu wengi ni kuanzia wangapi?Kuanguka ni tatizo la kiafya ambalo dkt Slaa analo sawa na mwenzake-Kikwete.Katika hali kama hii ni ushauri mzuri kuwa muda wa kupumzika umefika.
Katika tukiio la kampeni la Zanzibar ni wazi kuwa wapambe wa dkt.Slaa walitaka kuudanganya umma.Eti mpiga picha wake hakuwepo hivyo watu wasingeweza kuona picha za tukio hilo.Walisahau kuwa enzi hizi uchukuaji picha hufanywa na hata watoto wadogo katika ubora wa hali ya juu kwa kutumia simu tu.Yawezekana hawa wapambe wamekuwa wakifanya ubabaishaji aina hiyo maeneo mengine.
Lazima watasema typing error....Unajua tatizo kubwa ni nyaraka toka CCM ndo ime-reveal hilo, hapo Makamba akiingia kichwa kichwa ataharibu hivihivi
hivi anaitwa nani?mbunge wa chadema anamwita rais kikwete hana adabu? Kazikweli wamemwamkia kikwete leo wote
mimi bado niko job lakini nasikia matangazo yamekatwa