Elections 2010 Slaa aunguruma Mwembeyanga, LIVE TBC1

Elections 2010 Slaa aunguruma Mwembeyanga, LIVE TBC1

kesho tu mtasikia tunaenda mahakamani ...am waiting
 
Isingekuwa neema ya mawasiliano basi tungedanganywa sana.

Eti Slaa aiteka Zanzibar! Mbona watu ni wachache hivyo.

Nikiingalia hiyo picha naona waandishi wawili wa habari wakiwa wamekaa chini. Karibu kabisa na dkt.Slaa ambaye amezibiwa na doti za kanga zilizofungwa na kamba ya katani.

Dkt Slaa mwenyewe amesimama kwenye kitu kifupi kama si stuli basi ni jiwe.Hakupata waandalizi,vyenginevyo hawakuona haja hiyo kwa vile mpaka dakika za mwisho hakukuwa na dalili za kupatikana wasikilizaji.


Ufupi wa mambo ni kuwa dkt.Slaa kaisha kabisa.Nikisema hivyo ni katika kila hali hata ya kiafya.

Kutokana na fani yangu naweza kusema kuwa dkt.Slaa ana tatizo la hypertension.Kampeni ziishe akapumzike kabla hajaanguka kwenye majukwaa.
Kwani nyie huwa mnakaa kwenye viti? si huwa mnakaa chini kama funza?
 
Mi nasubiri majibu ya makamba kuhusu hili..watamjia juu leo we ngoja tu!
Unajua tatizo kubwa ni nyaraka toka CCM ndo ime-reveal hilo, hapo Makamba akiingia kichwa kichwa ataharibu hivihivi
 
matundu manne ya shimo sh milioni 700 duh kweli tutafika safari yetu ya maendeleo?
 
Kuanguka ni tatizo la kiafya ambalo dkt Slaa analo sawa na mwenzake-Kikwete.Katika hali kama hii ni ushauri mzuri kuwa muda wa kupumzika umefika.

Katika tukiio la kampeni la Zanzibar ni wazi kuwa wapambe wa dkt.Slaa walitaka kuudanganya umma.Eti mpiga picha wake hakuwepo hivyo watu wasingeweza kuona picha za tukio hilo.Walisahau kuwa enzi hizi uchukuaji picha hufanywa na hata watoto wadogo katika ubora wa hali ya juu kwa kutumia simu tu.Yawezekana hawa wapambe wamekuwa wakifanya ubabaishaji aina hiyo maeneo mengine.
watu wengi ni kuanzia wangapi?
 
Vipi elimu bure na ze simenti na ze nondo maana hii imekuwa mwarobaini wa ccm kama jini na nguruwe?
 
Tunaomba sana, maana Slaa amesema ukweli juu ta TBC, Kweli kuna kazi nzuri sana
 
mbunge wa chadema anamwita rais kikwete hana adabu? Kazikweli wamemwamkia kikwete leo wote
 
Update zaidi wakuu, naona mambo MwembeYanga inazidi kuandika Historia, inabidi tujenge mnara mkubwa hapo na kuweka sanamu la wapiganaji wa ufisadi kama Dr Slaa.
 
mimi bado niko job lakini nasikia matangazo yamekatwa

Acha wakate lakini wajue, hukumu iko njiani. Magazeti yanayopendwa sana kesho yatapeleka habari. Acha wakatishe matangazo, si wanafaidika na ufisadi wa kodi zetu.
 
Back
Top Bottom