naona wenye daladala wanataka kuongeza Nauli ifikie 700...wenye mashangingi yanayolipiwa kilakitu itamgusa saa ngapi? wakati watoto wao hata daladala hawapandi...?
Budget yetu bado ina mapungufu mengi, bahati mbaya Bungeni tunapeleka waimba Kwaya na wacheza Drama, watapata muda gani wa kuipitia Hio Budget...bado wao wana vibiashara vyao vya kujiongezea mapato, wanabeba mabrief case tu, na hakuna anaekwenda kusumbua AKILI yake alau kusoma.... I do believe wapinzani kwa number yao...kila mmoja akosoe pale panoonekana ni udhaifu, na ikibidi kama KUSUSIA upitishaji wa Bajeti hio ufanyike...Alau kususia ni ALAMA ya kuonesha kuwa hukubaliani na bajeti isiyokuwa na Maana kwa wananchi...