Mie sie mtaalamu wa uchumi ila kuna mtaalamu amenijuza kuwa kuongezeka kwa ajira inaweza kuwa ni matokeo (result) ya inflation rather than sababu (cause) ya inflation. Pia anadai inflation sio lazima i-sustain high employment. Kwa mfano commitment ya serikali ya kuwepo kwa ajira nyingi inaweza kusababisha fiscal and monetary policies ambazo ni inflationary. Anachojaribu kutofautisha ni high employment as the result rather than the cause of inflation. Wataalamu mnasemaje?
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama Dr. Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.
Mabenki, kampuni za simu na NGOs wanazalisha bidhaa gani???
je ulishawahi nunua mkate toka VODACOM au sukari toka NBC??? acha kuchangia usichokijua!!!
ulichojuzwa umekifanyia utafiti au na we umekurupuka tu, uka copy na ku-pest??