Slaa hili mbona hulisemei?


ulichojuzwa umekifanyia utafiti au na we umekurupuka tu, uka copy na ku-pest??
 

Hao waliokuwa kwenye huo mjadala pamoja na wewe wote MNAJIDANGANYA na Kudanganya pia.....nani kakwambia kupanda kwa ajira kunaleta inflation? Inflation inaletwa pale ambapo serikali inaamua kuchapa hela zaidi ya mahitaji kama walivyofanya BoT majuzi...Na hilo husababisha pesa nyingi kuingia katika mzunguko wakati kuna huduma na bidhaa chache......kuongezeka ajira kunaleta nguvu ya manunuzi tu kwa wananchi ambalo ni jambo zuri kabisa kwa vile linasukuma mzunguko wa pesa kwa kazi zaidi....bila kuhitaji kuchapisha mahela mengi na BoT
 
Mabenki, kampuni za simu na NGOs wanazalisha bidhaa gani???
je ulishawahi nunua mkate toka VODACOM au sukari toka NBC??? acha kuchangia usichokijua!!!

Duh! Mie sio mchumi lakini I am sure bidhaa include goods and services.
 
ulichojuzwa umekifanyia utafiti au na we umekurupuka tu, uka copy na ku-pest??

Nitaanzia wapi wakati nimesema kabisa kuwa sion mtaalamu wa uchumi. Tulikuwa kijiweni tunaeongelea issue ya inflation Tanzania, ndio mchumi akaghusia hilo. Kuja JF nakutana na issue hiyo hiyo. That why I put her point here. I am just learning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…