Slaa: Ikulu imemdhalilisha Warioba

Slaa: Ikulu imemdhalilisha Warioba

Ingizo jipya sokoni safi sana mmekuwa wateja wazuri subirini sasa movie mpya ya chalinze trela linatoka leo kesho Mzigo pwachaaaa sokoni
 
Uzalendo gani huo wa kuigawa Tanzania kupitia "Nchi 3/Serikali 3?" Tena usimlinganishe kabisa Warioba na Nyerere maana wako mbali kama mbingu na nchi esp kuhusu Muungano!
Halafu nilifikiri Tume imevunjwa kumbe pamoja na kuvunjwa huko Warioba bado ni "Mwenyekiti wa Tume?"

Hauonyeshi kama umekomaa wewe. Hivi maoni ya Muungano wa serikali 3 alipendekeza Warioba? Mimi ni mmoja wa waliohudhuria mkutano wa tarehe 27.9.2012 Songea. Tulipendekeza tuliojitokeza kuwa na Muungano wa Serikali 3. Hakuna maelezo wapi tanganyika ilifia. Hata wewe unayepiga domo humu huna maelezo wapi Tanganyika ilifia. Toa hoja kwa nini Zanzibar iliendelea kubakia na serikali yake halafu tanganyika ikafa? Ukiweza kutoa maelezo nitakuona wa maana zaidi. Mlitaka Warioba na Yule mbunge Albino ambaye naye tarehe husika alikuwepo waandike nini? Wachakachue maoni yetu? Acha ujinga wenu wote nyie. Wachumia tumbo tu.
 
Haya wewe tupe nukuu japo moja ambayo umeona Warioba kadhalilishwa.

Tatizo lako ni uchumia tumbo wa kujipendekeza kupata vyeo.Huna lolote. Upo kama kasuku vile. Toa maelezo kwanini Tanganyika ilikufa serikali yake wakati Zanzibar waliendelea kubakia na serikali yake? Mnataka kutufanya wote wajinga kama nyie.
 
Tatizo lako ni uchumia tumbo wa kujipendekeza kupata vyeo.Huna lolote. Upo kama kasuku vile. Toa maelezo kwanini Tanganyika ilikufa serikali yake wakati Zanzibar waliendelea kubakia na serikali yake? Mnataka kutufanya wote wajinga kama nyie.

Haya wewe tupe nukuu japo moja ambayo umeona Warioba kadhalilishwa.

Serikali ya Tanganyika haikufa, iliuliwa na Nyerere, kwanini huupendi ukweli?
 
Haya wewe tupe nukuu japo moja ambayo umeona Warioba kadhalilishwa.

Serikali ya Tanganyika haikufa, iliuliwa na Nyerere, kwanini huupendi ukweli?

Kwanini Nyerere aliua bila ya maelezo? Kwanini kama kuua Tanganyika lilikuwa ni wazo la mtu mmoja, leo hii kwanini tunapata kigugumizi kuirudisha? Umejibu vyema Nyerer aliua. Sasa hahojiki kwanini aliua? Tupeni maelezo kwanini aliua kama kweli mnajua ili nasi tuwaunge mkono. Vinginevyo kujifanya nyie tu ndio mnajua siri ya kuua Tanganyika haitatusaidia. Mawazo yake ya kuua Tanganyika yamepitwa na wakati kama vipi angeacha maelezo ya kutosha kuwarithisha wengine. Warioba akadhalilishwa kwa kuambiwa mnafiki. Unafiki wake ni nini sasa hapa?
 
Kwanini Nyerere aliua bila ya maelezo? Kwanini kama kuua Tanganyika lilikuwa ni wazo la mtu mmoja, leo hii kwanini tunapata kigugumizi kuirudisha? Umejibu vyema Nyerer aliua. Sasa hahojiki kwanini aliua? Tupeni maelezo kwanini aliua kama kweli mnajua ili nasi tuwaunge mkono. Vinginevyo kujifanya nyie tu ndio mnajua siri ya kuua Tanganyika haitatusaidia. Mawazo yake ya kuua Tanganyika yamepitwa na wakati kama vipi angeacha maelezo ya kutosha kuwarithisha wengine. Warioba akadhalilishwa kwa kuambiwa mnafiki. Unafiki wake ni nini sasa hapa?

Wala usipate taabu, Nyerere alisema hajui maana ya Tanganyika ni nini.
 
Uzalendo gani huo wa kuigawa Tanzania kupitia "Nchi 3/Serikali 3?" Tena usimlinganishe kabisa Warioba na Nyerere maana wako mbali kama mbingu na nchi esp kuhusu Muungano!
Halafu nilifikiri Tume imevunjwa kumbe pamoja na kuvunjwa huko Warioba bado ni "Mwenyekiti wa Tume?"
Tatizo lako umejivika koti la serikali mbili ndio maana huoni umuhimu wa Jaji Warioba kwenye taifa hili, laiti angeandika unayopenda kuyasikia leo Warioba angekuwa hero kwako.
 
Wala usipate taabu, Nyerere alisema hajui maana ya Tanganyika ni nini.

Kama haya ndio maelezo yake na kama si yako basi hii ni hoja dhaifu ya Nyerere katika hoja zote alizopata kuzitoa. Hivi kutokujua maana ya kitu ndio uue kinyemela? Angejua ingemsaidia nini sasa? Je anajua maana ya Zanzibar?
 
Uzalendo gani huo wa kuigawa Tanzania kupitia "Nchi 3/Serikali 3?" Tena usimlinganishe kabisa Warioba na Nyerere maana wako mbali kama mbingu na nchi esp kuhusu Muungano!
Halafu nilifikiri Tume imevunjwa kumbe pamoja na kuvunjwa huko Warioba bado ni "Mwenyekiti wa Tume?"

Kikwete nadhani hafahamu maana ya KATIBA Ya nchi. Katiba ya nchi ni sheria mama ambayo haitengenezwi kwa maslahi ya chama cha siasa bali kwa maslahi ya nchi nzima. Nchi yetu ina vyama vingi vya siasa hivyo ni makosa kwa Kikwete na chama anachokiongoza kusema wanatetea sera ya chama chao kuwa muundo wa muungano wa serikali mbili ndio uingizwe kwenye katiba. Je kesho kama chama kingine kiingia madarakani je itakuwa busara nchi kuingia gharama nyingine ya kutenegenza katiba kufuatana na sera za chama husika!! Kikwete na chama chake wamepotoka.
 
Dr.Slaa amekuwa kama mtu aliyesomewa albadiri..kama anawehuka hivi...

Unaona sasa mnajitokeza kuwa nyie ni chama cha washirikina na ndio maana unasema mambo hayo lakini tunasema kuwa na MSHINDWE NA MLEGEE!!
 
Aulizwe Jaji Kisanga yaliyomkuta kutoka kwa Mkapa! Shukurani ya punda huwa ni mateke.
 
Back
Top Bottom