Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,
Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....
Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,
Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....
Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa

Huo utafiti aliufanya upande mmoja tu? Hakuenda kwenye mkutano wa JK kuuliza kama watu wamehudhuria kumsikiliza au kumuona Juma Nature?Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,
Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....
Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa
Pole sana
Mafisadi wanapadikiza mtu arafu wanampeleka mtangazaji wa BBC akamuoji
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,
Naam,,,
nanyi hamuachi kulia
polls ovyo tbc, itv ovyo radio zote ovyo
tume ya uchaguzi ovyo
obama kusema tanzania inasogea vizuri ovyo
mna kazi nyie wakukosa
sasa dunia nzima si ovyo ni chadema
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,
Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....
Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa